Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,302
Nakufananisha na PB etiβΊοΈDuuuh noma sana mkuuu ππ
Nakufananisha na PB etiβΊοΈDuuuh noma sana mkuuu ππ
Asante sana dogo, Kheri ya Mei Mosi.Good morning wana selfika wote ππππ
Aunt Antonnia za asubuhi ππ
Aunt Bantu Lady za asubuhi huko ππ
Mue na mei mosi njema na wengine wote View attachment 2605742
Sawasawa ππππ i keep my wordAuntie hasahauugi kirahisi ujue !! Haya nasubiria hio siku βΊοΈ
Asante aunty, nani dogo tena sema kaka bana,, sio dogo mkuu ππ πAsante sana dogo, Kheri ya Mei Mosi.
Hapanaa auntie Mbantu hata hajanijaza kitruuuu mbonaa π!! Kaa hapoo nije kukubles leo nina mudii ya kutupia π€³kweriiiπAlafu ww Bantu Lady sijui umemjaza nn aunty Antonnia ww Bantu Lady mbaya ww we ngoja tu dawa yako imo jikoni ππππππππ
PB ndo nani π€π€Nakufananisha na PB etiβΊοΈ
Tupia aunty nimo nimo βπHapanaa auntie Mbantu hata hajanijaza kitruuuu mbonaa π!! Kaa hapoo nije kukubles leo nina mudii ya kutupia π€³kweriiiπ
Anafurahijee kutuchora walai βΊοΈ!Asante sana dogo, Kheri ya Mei Mosi.
Mfyuuu..ona Unavopenda kuona za watu zako sijui unaficha niniππ!Tupia aunty nimo nimo βπ
π π π π Akianani πππ duuuhAnafurahijee kutuchora walai βΊοΈ!
Jamani unanionea bure, sijamwambia chochote Tonnia πππππ kwani kakufananisha na nani tena?Alafu ww Bantu Lady sijui umemjaza nn aunty Antonnia ww Bantu Lady mbaya ww we ngoja tu dawa yako imo jikoni ππππππππ
π€£π€£π€£π€£π€£ We jichetue tyuuuPB ndo nani π€π€
Daaaah kimeumana ππππππJamani unanionea bure, sijamwambia chochote Tonnia πππππ kwani kakufananisha na nani tena?
Wewe bado dogo bana. Kaka subiri ukue kue kidogo.
Akhsaaannteeeeehhh πππππ! Uwiii Bantu Lady Njoo uone misuliiiiiii hukuuu auweeeeehhh!πNaanza kiungo kimoja kimoja kwanza mpaka mwisho ntamaliza zote π
View attachment 2605778
Ewaaa sasa hivi sijakosa mtooto shepu ya Kinyarwadaaaaa ππππππππππ₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Santoo sana Auntie.. Nimeona unaenda na promise kabesaaa umeanza na mkonooo aseee nimeona misulii sio poa kabisaa auntie! Bila shaka yajayo yanafurahishaaaππππ€!Daaah ππππ€π€π€ aseee
kumbe we ni mzuri hivyo daaaaah πππΉ aseee watu wanafaidi bwana weeeeeeeee Antonnia asante kwa kutubless
Sitokuangusha kwenye ile promise yetu
Eendiwoooooooo ndiwooo santo sana everything for Yanga kipenzeee wamejua kunikoshaaa!!ππππ!!Ewaaa sasa hivi sijakosa mtooto shepu ya Kinyarwadaaaaa ππππππππππ₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Ushindi wa Yanga na watoto wa Jangwaniπ°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°
Kabisa asante kwa kutubless asubuhii, kila kitu kitaenda sawa sasa mtoto mzuri, mtoto shepu. Mtoto namba 1,2,3 zote zako. Utake nini tena π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯Eendiwoooooooo ndiwooo santo sana everything for Yanga kipenzeee wamejua kunikoshaaa!!ππππ!!