DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,416
Sio mamaJ, Ni mamaG my wife¹
Lazima udate tuu kama mambo yenyewe ndo hayo ya mama.J
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sio mamaJ, Ni mamaG my wife¹
Lazima udate tuu kama mambo yenyewe ndo hayo ya mama.J
Waoooohhh mkuu hongera sana...
KWeli? au kwa sbb nimekuqoute
Wanaume wameumbiwa tamaa🙌Waoooohhh mkuu hongera sana...
Ila nyie wanaume ni ma ubwaa..
Kwa hali hyo una haja ya kuchit kweli
Maswali korofi sn ayo,utashtakiwa kea uchocheziWaoooohhh mkuu hongera sana...
Ila nyie wanaume ni ma ubwaa..
Kwa hali hyo una haja ya kuchit kweli


For sureeWanaume wameumbiwa tamaa🙌
Maswali mtambuka ...Maswali korofi sn ayo,utashtakiwa kea uchochezi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wewe na DeepPond mnafanya nishindwe kupost kitambi changu humu😀Jahman mtu wa MunguView attachment 2598740
Maswali ya kibatara hayaMaswali mtambuka ...


Jikubali mkuu kwani kitambi kinauma
Kifua Cha kuzidi mzee babaJahman mtu wa MunguView attachment 2598740

Mwendo wa general work out hakuna kunyanyua vyuma jogging, pushups etc
Mnyama mkali!
Miss you much more mnyamaaa! Aliekuficha huyoo!!!!Mnyama mkali!
Chino ana ku miss Sana.
Nipoo dearrr tunapishana tyuuu!!!Fanya mambo dadalake nimekumiss mno
hahaha wakunificha zaidi yako hayupo ati! Mvua za dar ziliondoka na simu yangu.Miss you much more mnyamaaa! Aliekuficha huyoo!!!!
Tangu Eid unapatikana kwa machalee sana lol nafurahi kukuona tena selfika mnywanii!!