Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Thanks love. Happy SabbathNawe pia dear , uwe na siku njema
Thanks love. Happy SabbathNawe pia dear , uwe na siku njema
Umeipenda eeh??Unataka nianze kumpelekea Roma maua yake sio 🤣🤣
Nimependa hiyo miwani yako kwa Avatar. Niazime kwa leoUmeipenda eeh??
Asante dearNawe pia dear , uwe na siku njema
Na haka kamvua nipo nashangaa tu hapa . Sitoki kabisa .Thanks love. Happy Sabbath
Asante pia , Eid Mubarak kaka , naomba mwaliko .Asante dear
Na wewe uwe na siku njema pia dear
Hiyo tu nipo Radhi nikuagizie kontena zima la hiyo miwani.Nimependa hiyo miwani yako kwa Avatar. Niazime kwa leo
Asante mdogo wanguAsante pia , Eid Mubarak kaka , naomba mwaliko .
Shangazi ukiombwa mbususu toaHongereni sana lakini Kwa style hii ya kutushinda kupika hatutaolewa Tena
Kuna jamaa alipika pilau had nikahis amegooglemmetuamulia mwak huu
Asante sana hapo , kituo ni tip top au wapi ?Asante mdogo wangu
Mwaliko umepata
Mvua ikipungua njoo Manzese upige pilau la kufa mtu
Ulikuwa likizo

Una wakwa sana tamaaMero ana bahati jamani
I wish I could be IGP
Eid Mubarak
😂😂 sawaUlikuwa likizo
Li zuri usiwe unapotea hivyo
Sawa eeh
hehe , ukiwa mwenyewe hayo mambo ya morning glory unayasoma mitandaoni tu , ni wewe na blanket lako tu lolKashindwa hata kuku bize
Na morning glory![]()
Na kula utamtuma boda eeNa haka kamvua nipo nashangaa tu hapa . Sitoki kabisa .
Wivu mbaya sana😀Una wakwa sana tamaa
Line ya mwisho. Do the needful according to this thread 🥰🏃♀️Hiyo tu nipo Radhi nikuagizie kontena zima la hiyo miwani.
Furaha Yako ni furaha Yangu.
hapana , naishi karibu na barabara sana . Nitafuata tuNa kula utamtuma boda ee
Ewaaa..Asante sana hapo , kituo ni tip top au wapi ?