Hahahaha..................kuliko kupigana Risasi bora mkubaliane wote Mumuoe huyo Mjukuu, iwe kama India, Mrembo mmoja anaolewa na Wanaume 2ππ π na mie mjeshi vile vile, tutakabiriana vizurii tu
Uwe makini kwa kweli, kugonganisha magari haifai mbele ya Babu yako ππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈUsijareee kabesaaa babuu mjukuu mwenyewe yupo makeneee sanaa anajua risasi zitamuhuuπ!!!
Hilo haliwezekani kabizaa , ulishawai ona simba wafalme kuishi eneo moja ? Kanuni ni lazima mmoja akufe π πHahahaha..................kuliko kupigana Risasi bora mkubaliane wote Mumuoe huyo Mjukuu, iwe kama India, Mrembo mmoja anaolewa na Wanaume 2π
Sijui wenzetu kule hawana Wivu πββοΈ
π€£π€£π€£!Hahahaha..................kuliko kupigana Risasi bora mkubaliane wote Mumuoe huyo Mjukuu, iwe kama India, Mrembo mmoja anaolewa na Wanaume 2π
Sijui wenzetu kule hawana Wivu πββοΈ
Mjukuu hajawahi gonganisha magaree babuu unaniangushaa ujueee π!Uwe makini kwa kweli, kugonganisha magari haifai mbele ya Babu yako ππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Miss you too dear, yaan acha tuu ubusy huu mpaka inabidi tupoteeMiss you mzunguu!! Sio kwa kutingwa huko!!
Nitashukuru ππNimemtuma fundi miko aje aitengeneze pm yako
Na mjeda Tutakuchangia tukubutue kweri kweri mjomba!!Hilo haliwezekani kabizaa , ulishawai ona simba wafalme kuishi eneo moja ? Kanuni ni lazima mmoja akufe π π
Hahahaha....................nilikuwa nawaza kwa Uzee huu jamani nitawezaje kuamua ugomvi wa watu wenye maRisasi.π€£π€£π€£!
Babuu mie Roho yangu ipo kwa mjedaa Kwani si ndie alieleta posa kwako lakini acha kujizima dataa granpa akee basiiππ!
Kweli Mungu ni mwema sana dear nafurahi kukuona tena selfika!!Miss you too dear, yaan acha tuu ubusy huu mpaka inabidi tupotee
Ila Mungu mwema tumekutana tena hapa
Hope wewe na familia hamjambo
Nakuamini Mjukuu wangu, umekuwa muaminifu kwa Mjeda mwaka wa 2 huu tangu aende Operation kule Congo na SomaliaMjukuu hajawahi gonganisha magaree babuu unaniangushaa ujueee π!
Mie ni wewe sitochapa hata kofi, nitammaliza mjeda kimya kimya, kama alivyo malizwa simba bob junior then majamaa yakachukia pisi zao swaaafi π πNa mjeda Tutakuchangia tukubutue kweri kweri mjomba!!
Huwezi kufa na presha babuu wajukuu zako tunajua uko vizure uko fit sana!! Unaanzajee kupata preshaaa ππ€Hahahaha....................nilikuwa nawaza kwa Uzee huu jamani nitawezaje kuamua ugomvi wa watu wenye maRisasi.
Nisije kufa kwa Presha bure Mjukuuπ
Wee mjomba unamjua mjeda vizuri wewe hujanyanyua mkono ushaumizwa vibaya sana ππ!Mie ni wewe sitochapa hata kofi, nitammaliza mjeda kimya kimya, kama alivyo malizwa simba bob junior then majamaa yakachukia pisi zao swaaafi π π
Hahaha................lakini wewe ndiyo utakuwa mgomvi, umemkuta Mjeda ameweka Kambi hapo Mwaka wa 7 huu, muonee huruma mwenzio πHilo haliwezekani kabizaa , ulishawai ona simba wafalme kuishi eneo moja ? Kanuni ni lazima mmoja akufe π π
Basi siku hiyo ndio utaelewaaa.. analiwa hesabu kali sanaa.. akiwa attacked hachomoki , watu tuna twaa jimbo na watotoWee mjomba unamjua mjeda vizuri wewe hujanyanyua mkono ushaumizwa vibaya sana ππ!
Eendiwoooooooo granpa Nakaziaaaaaaaa !! π€πHahaha................lakini wewe ndiyo utakuwa mgomvi, umemkuta Mjeda ameweka Kambi hapo Mwaka wa 7 huu, muonee huruma mwenzio π