Sawa kakaItunze
Idumu
Sawa boss ila huyo Chief Accountant National Anthem ni Mzee wa 10 percent, sijui kama hela yote itafika Site πββοΈπββοΈ
π π π kikubwa ifike tu mkuu, kuliko kutokufika kabisaa.. na uzuri hiyo 10% nakula na wajukuu wako kama AntonniaSawa boss ila huyo Chief Accountant National Anthem ni Mzee wa 10 percent, sijui kama hela yote itafika Site πββοΈπββοΈ
Hebu tukutane tujadili hili jiraniNitaaanzia wapi mimi jirani?
Nitaishi vipi mjini niki ku block wewe jirani
Aki babe wangu fanya nikusikie, nimekuhamu mwenzioMotivational speaker[emoji1]
Napokea pigaππ hupokei simu sasa, angalia pm
Miss you mzunguu!! Sio kwa kutingwa huko!!Napokea piga
Pm imeharibika π
Hatutakiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Story ziwe fupi fupi selfii kwawingi wapendwa!
Samalekooo!!
Goja babu yako atume kwanza π πNipo hapaa fanyeni wepesi mnitumie mjombaa!!π!
Acheni hizoooo jamaneee!!Hatutakiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimemtuma fundi miko aje aitengeneze pm yakoNapokea piga
Pm imeharibika π
Uzuri Babu hanaga mbambambaa kabesaaaaa yani!!Goja babu yako atume kwanza π π
π π na mie mjeshi vile vile, tutakabiriana vizurii tuNdiyo maana Mjukuu wangu Antonnia anazidi kunawiri, ila kuwa makini naye, si unajua ameolewa na Mjeshi?
Mbaya zaidi mjeshi mwenyewe anamiliki Pistol π« π
Nipo babe!...u can call me any timeπAki babe wangu fanya nikusikie, nimekuhamu mwenzio
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Usijareee kabesaaa babuu mjukuu mwenyewe yupo makeneee sanaa anajua risasi zitamuhuuπ!!!Ndiyo maana Mjukuu wangu Antonnia anazidi kunawiri, ila kuwa makini naye, si unajua ameolewa na Mjeshi?
Mbaya zaidi mjeshi mwenyewe anamiliki Pistol π« π
Weeeeeeehh mjombaaa babu kashasema kaa kwa password ivoo!!ππ π na mie mjeshi vile vile, tutakabiriana vizurii tu
Kama simba nyikani, inabidi kuzichapa hadi mmoja afe ndio amiliki π π πWeeeeeeehh mjombaaa babu kashasema kaa kwa password ivoo!!π