Huyo Bantu Lady inasemekana alisoma masomo ya Sanaa na biashara, hapa kwenye mambo magumu lazima atakuwa anaona mapicha picha ππββοΈπββοΈπββοΈBabu subiri kidogo utakanyaga wire wa network tumsubirie kwanza Bantu Lady akuje the tuuangalie ubora wa zege na nondo zake
Dah ndio nimekosaaa aunty π« π« π« π« π« π« na miaka sasa sijakuona aunt wangu mrembo mzuri mzuriAntonnia sumbai Kapachino Carrasco cocastic National Anthem Tayukwa Wigelekelo na wengine wote haya naselfika chap kwa haraka sirudii πππππ
Thubutuuuu yake, alininyima had no ya jamaaKwa wale wazungu wake
Mmoja ulimuelewa
Anazingua
Na hafananii na uswahili.
Akhsaaannteeeeehhh ππππππππππ!!NImenuna balaa mnisamehe vya Kikurya vilipanda π€£π€£π€£π€£π€£View attachment 2593980
Ni sheeeedaaaa walahiiiiii πππ ukisikia full option ndio hii sasa .. Mungu alitoa chombo hapaNImenuna balaa mnisamehe vya Kikurya vilipanda π€£π€£π€£π€£π€£View attachment 2593980
Mwenzio app inasumbua, sasa hata sioni, picha haifungukiiiii. Fanya unitumie hata tsup ntaipata kwa Tonnia.
Unapitwa hukoo Mbantu keshatupiaaa wewe huchelewi kupitwa naupo hapahapaaππThubutuuuu yake, alininyima had no ya jamaa
Nimepata tenda kwa Wigelekelo , ngoja nimjengee nipate hela ya kununulia Ugolo ππββοΈπββοΈEeendriiiooo ndrrriiioooo babuuuu!!!
Hongera sana granpaahh uko vizureeβοΈβοΈβοΈ!!
Akhsaaannteeeeehhh!!
Mtrotro whiteeeeeee mtrotro jichooo jichooo weuuweehh!!!!
Wabheja sana mamalaoo hakika mchana wangu unaenda kuwa fureeeeeeeeesssshhh kabisaaa!!
Unapitwa hukoo Mbantu keshatupiaaa wewe huchelewi kupitwa hapahapaa
View attachment 2593973
Kama tumeshindwa kujenga zetu wacha Tuwajengee Wadosi tu akina Wigelekelo
Hello Thursday
Zaidi ya mara8 naandika nasifiaaa nafuta naona bado sifa hazitoshi kwa ulimbwende wakoNImenuna balaa mnisamehe vya Kikurya vilipanda π€£π€£π€£π€£π€£
Ulivong'ang'ania kutumia App sasa tumia browser nawee!pichaa haifungukiii jaman, mbna ningeshaionaaa, naishia kuugulia maumivu ila hii app daaah
Unaniachaje chawa wee msintanieeee ππ€£ππ€£!!Zaidi ya mara8 naandika nasifiaaa nafuta naona bado sifa hazitoshi kwa ulimbwende wako
Lakini ngoja kwanza niseme hiki cha kipuuzi na wala si kikubwa.
Suala zima la Lunch yako kwa wiki mbili hizi niachie mimi Bantu Lady
Atakutumia tsup mbantu hanaga mbambambaa kabesaaaaa!!save unitumiee tsup, kwa ridhaa yake lakini, akikataa bas had wakati mwingne app ikiwaa vyediii.
Kapachino habari zake zitamfikia baada ya Iftar...Bye byee selfika.
Paka siku nyingine BL akitoa tamko.
Naomba salami zangu zimfikie Kapachino
Najua umepitwa na Maua ua ya Leo....
Sent using Jamii Forums mobile app