Nimeshaona mademu kutoka kila sehemu,
una haki ya kuringa we ni bonge la demu,
mtaani ni nani asiyekufahamu,
kila time nikikuona usoni unatabasamu,
machoni kukutazama mtu mzima siishi hamu
uzuri kama wako wengine wanautumia kwa umalaya,
napenda hata mavazi unayovaa,
napenda pozi zako kwenye kiti unapokaa,
ukisimama tumbo flati utadhani bado hujazaa,
ha, nje kimini lazima thong kwa ndani π₯π₯π₯π₯π₯
C.c
Antonnia