Selfika na JF: Snap it. Show it

Mi mwenyewe ananichanganya Sana huyu mtoto tonnia!
 
Mnyama mkareeeee mlipoamkia leo na mjomba National Anthem sasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜Š!
ah sikusifii makusudi una thamani zaidi ya gold,

siyo tu nakusifia ukweli nakwambia mamaa,

unang'ara bila poda baby, na kwa upeo mtoto mi nakupa shada

hupendi kabisa uzungu, ah, kwangu fahari

we ni binti mrembo,

kuna watu wanachonga eti mtoto unaringa nami siwezi kupinga
nasema ruksa kuringa... wooo. πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Nimeshaona mademu kutoka kila sehemu,
una haki ya kuringa we ni bonge la demu,

mtaani ni nani asiyekufahamu,
kila time nikikuona usoni unatabasamu,

machoni kukutazama mtu mzima siishi hamu

uzuri kama wako wengine wanautumia kwa umalaya,

napenda hata mavazi unayovaa,
napenda pozi zako kwenye kiti unapokaa,

ukisimama tumbo flati utadhani bado hujazaa,
ha, nje kimini lazima thong kwa ndani πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

C.c Antonnia
 
Hakii asubuhi Yangu imekua fureeeeeeeeesssshhh kabisaaa santo sana mjomba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…