mpaka ofisini unaimbwa mtoto Mimi Ni nani? nyuma ya keyboard nisikuimbe!Nacheka kama mazuri, Chino jamani huko umezidisha...
Ofisini wananiita Range tu, sijafikia kwenye tipper miye...
Maofisini utawaweza, huko kila mtu atapewa jina, ili mradi tu. Kuna mmoja chotara wa kiarabu na kihaya. Basi anapenda aonekane na kalio na huwa ananitania, mkwe nipunguzie ...mpaka ofisini unaimbwa mtoto Mimi Ni nani? nyuma ya keyboard nisikuimbe!
Chino inabidi nitafute pesa niache maneno mengi na kujieleza Sana aise.
nshomile tena kwa sifa wameshashindikana! wewe humuoni mnyama mkali tokea nshambya_ bukoba Antonnia anavyojiamini.Maofisini utawaweza, huko kila mtu atapewa jina, ili mradi tu. Kuna mmoja chotara wa kiarabu na kihaya. Basi anapenda aonekane na kalio na huwa ananitania, mkwe nipunguzie ...
Sasa Mkaka mwingine huwa anamwambia ungekuwana nalo weyee tusingekunywa maji πππππ
Acha kunikumbusha mambo ya floor ya sita hall 5.Good eveningView attachment 2571200
Enzi za jumong and land of the wind.Acha kunikumbusha mambo ya flow ya sita hall 5.
Ilikuwa ni mwendo wama epsodes tu.
PeyaaaaaaaaaaEnzi za jumong and land of the wind.
Jumong ndio ilikuwa habari ya mji
Hii land of the wind niliianziaga advance! Kila ijumaa na jumammos! Mlinzi alikuwa anamtindo wa kuficha key ya kuchukulia tv; ikifika siku izo. Kuna siku tulimtembezea chapo kisa icho itu. Ulikuwa hautuambii kitu kuhusu mchizi Jan bokEnzi za jumong and land of the wind.
Jumong ndio ilikuwa habari ya mji
Spartacus... The gladiatorsPeyaaaaaaaaaa
Dah noma sama unamkumbuka Jan bok na head chief na lady Jan gwa ndo zilikuwa zangu.
Bila sahau myama spartcus
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii land of the wind niliianziaga advance! Kila ijumaa na jumammos! Mlinzi alikuwa anamtindo wa kuficha key ya kuchukulia tv; ikifika siku izo. Kuna siku tulimtembezea chapo kisa icho itu. Ulikuwa hautuambii kitu kuhusu mchizi Jan bok
Bonsoir!! roho yake mzee wa hall 5Bonsoir β€View attachment 2571209
Acha kumbambikia kaka wa watu bana, Chino wewe sumbai is my good friend πBonsoir!! roho yake mzee wa hall 5
Hahahaha mzee mzeee... Kazi yenu hiyo nyinyi wakubwa....Bonsoir!! roho yake mzee wa hall 5
Kweli kabisaBonsoir β€View attachment 2571209
Haha!Spartacus... The gladiators
Blood and .....
Shida kuna jamaaa WA upinde mulee
Yes. Yes yes....Haha!
Mzee unakumbu kumbu!! Alizingua yule chalii.
Sema Kuna rough......! Za hatari.
Hizi kungwi Bantu Lady siku mmoja unipe shule nami niwe master
haha! Acha alipize lipize na kufidia mmetukimbia Sana pale hall 5. Na kwenda kula supper kule survei uku na mzee mwenzangu tukizunguka nyuma ya conas kule na jero jero vizia wali wa mafunguAcha kumbambikia kaka wa watu bana, Chino wewe sumbai is my good friend π
Havilipiziwagi hivyo, unaweza jikuta unaongezewa malipizi wewe π π π πhaha! Acha alipize lipize na kufidia mmetukimbia Sana pale hall 5. Na kwenda kula supper kule survei uku na mzee mwenzangu tukizunguka nyuma ya conas kule na jero jero vizia wali wa mafungu