Selfika na JF: Snap it. Show it

ZABURI 94:17-19

¹⁷ Kama Bwana asingalikuwa msaada wangu, Nafsi yangu kwa upesi ingalikaa penye kimya.

¹⁸ Niliposema, Mguu wangu unateleza; Ee Bwana, fadhili zako zilinitegemeza.

¹⁹ Katika wingi wa mawazo ya moyoni mwangu, Faraja zako zaifurahisha roho yangu.


HILO NDILO NENO LA MUNGU
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…