Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,183
- 96,010
We nitupe tu, Afu uje kusikia.... Sijui utalia au kuchekaa 😁😁Mi sitaki juaa ila akili zako unazijua mwenyewe!!Nakugawaa bureee kabisa 🙌🙌
We nitupe tu, Afu uje kusikia.... Sijui utalia au kuchekaa 😁😁Mi sitaki juaa ila akili zako unazijua mwenyewe!!Nakugawaa bureee kabisa 🙌🙌
🙌🙌🙌🙌🙌 Nakugawaaaaaaa bureeee!!We nitupe tu, Afu uje kusikia.... Sijui utalia au kuchekaa 😁😁
Unaenda na Poker au😡😡😡😡Heheheh wewe kijana
🥰🥰 ..
Weekend leo naenda mtoko ..
Sokomoko ndo kiatu ?Duh sokomoko
Nitajaribuu kufanya hivyoo, nipike ugali kilo 1 na picha ya samakihapana ...
Najitoa out mwenyewe 🤣🤣
Sometimes jipeleke mwenyewe date .. jipende mwenyewe , jispoil mwenyewe 🤣🤣🤣🤣
Jimbo lipo wazi au kuna mwamba alamba unyayo 😡😡hapana ...
Najitoa out mwenyewe 🤣🤣
Sometimes jipeleke mwenyewe date .. jipende mwenyewe , jispoil mwenyewe 🤣🤣🤣🤣
Haha jipende basiNitaharibuu kufanya hivyoo, nipike ugali kilo 1 na picha ya samaki
Lazima nijipende awepo au asiwepo 🤣🤣🤣.Jimbo lipo wazi au kuna mwamba alamba unyayo 😡😡
Sokomoko ndo kiatu ?
Jibu kwanza jimbo lipo wazi au isije kuwa nachart na jemba hapa inanichora tu hapa 😡😡😡Lazima nijipende awepo au asiwepo 🤣🤣🤣.
Ila wewe , kwani wewe unalamba unyayo ???
Navaa namba 41Mguu uho mkubwa kama wa mtoto wakiume
Kula Raha kwanza guest hukoJibu kwanza jimbo lipo wazi au isije kuwa nachart na jemba hapa inanichora tu hapa 😡😡😡
Mkuu matumizi makubwa ya nini, wakati unga kg 2000, nachora na picha ya samakiii mkubwa😁😆Haha jipende basi
Wewe ni mpare kwani ... Carrasco putin una ndugu yako hapa .
Navaa namba 41
Sema ukiona mguu wangu ni mdogo Kwa macho .


uchongewe kiatu cha peke yakoUtakukaba MkuuMkuu matumizi makubwa ya nini, wakati unga kg 2000, nachora na picha ya samakiii mkubwa😁😆
Kaka una tumia law ya force, itakuwa physics imelala hapoo😎Jibu kwanza jimbo lipo wazi au isije kuwa nachart na jemba hapa inanichora tu hapa 😡😡😡
Mama yangu alikuwa anavaa 42 , alikuwa mrefu .. wapo wanaovaa 42 wengi tuu .uchongewe kiatu cha peke yako
Tatizo beiii, Afu vyote hivyo vya Nini??Utakukaba Mkuu
Shushia na visamaki , mchicha na maharage pembeni