Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

1677086638754.png
 
Ila mabinti wa Kinyarwanda huwa hawajuagi kukataa kabisa,.....
Ukishampa uhakika wa maisha mazuri tu, ishatoka hiyooo......
😅😅 na kweli ishatoka , ingawa huwa kwa mwaka naonana nae mala moja.. maana hat siku tunaatengana tulijifungia ndani kulia 🤣🤣🤣🤣🤣 kila mtu ana mmbebeleza mwenzake..
 
😅😅 na kweli ishatoka , ingawa huwa kwa mwaka naonana nae mala moja.. maana hat siku tunaatengana tulijifungia ndani kulia 🤣🤣🤣🤣🤣 kila mtu ana mmbebeleza mwenzake..
Daaah, ila wewe jamaaa!!! Natamani ningekuwa na moyo kama wako.......
Wako vizuri sana sema tu tabia ya visirani vya chini-chini na kushindwa kukataa ndiyo inanikera.....
 
Daaah, ila wewe jamaaa!!! Natamani ningekuwa na moyo kama wako.......
Wako vizuri sana sema tu tabia ya visirani vya chini-chini na kushindwa kukataa ndiyo inanikera.....
😅😅😅 ila akisema yes, na akakuelewa.. utaishi vizuri. Mie nilikuwa namnyaa kumtongoza, nikaomba kwa wadau.. nikawa naongea nae ila nachomoa kuonana nae kuogopa 😅😅😅 siku moja nikakosea mahesabu aka note ni mie.. akasema kumbe ni wewe sasa mbona unajificha ficha.. nikawanywea na jashoo zitoo mzeee.. tukaanza safari hapo.. chuo kilikuwa kinafungwa, ile anarudi nikalipia hostel yake na rafiki zake, na mashoping .. alafu nikafanya yangu dogo akahamia home kabisa.. ila hawapendi usariti yani ukila mahala akajua jipange kisiasa 😅😅 nahisi toka nilikuwa nae sikuwai chepuka miaka mitatu mizima
 
Back
Top Bottom