Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Cha kunipa unacho
Mathew 7:7-12
Take care kijana 😠
20230211_092047.jpg
 
Kwa kweli umependwa kaka!!!Yaani sasa hizi chapa ng'ombe zangu ukiziona na dingi Yao mweewalienda bush Kuna mtu aliwaona akasema Hawa watoto wa Fulani Hawa!!!bila hata Mimi na baba Yao kuwepo!!!mibichwa sasaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Polepole Mama Minza na hiyo mibichwa....Sisi hatuna mibichwa kihivyo and our kids are gojazi
IMG_20230208_215625_821.jpg
 
View attachment 2513447
Wale wavivu wenzangu wa kula kwa kuendekeza kufanya kazi sana, msisahu kubebelea hizo.

Kazi ni muhimu lakini afya ya mwili ni muhimu zaidi.

Hello Saturday
Saga hizi uongezee na maziwa mtindi...Maji tumia ya tui la nazi...Tupiamo na karanga mbichi konzi moja....Utakuja kunishukuru
 
Back
Top Bottom