Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,791
Mbona una haraka ivyo 😂Em nione
Mbona una haraka ivyo 😂Em nione
Nimemenya ndizi hivi daaah,Acha uvivu
😂😂😂 huyu mpika chai wetu mnoki hatar sizani kama anawazo la kuachaNimeishia la 3B, huko sitapata nafasi
Me na Jack Palladino tunataka tukuone best yetuMbona una haraka ivyo 😂
Lakini sio hapa noMe na Jack Palladino tunataka tukuone best yetu
Jaman hata kufagia ofisi je😂😂😂 huyu mpika chai wetu mnoki hatar sizani kama anawazo la kuacha
Tutumie basi pmLakini sio hapa no
Pameja mpaka mlangoni af naogopa utachukulia ujue mimi na mlindia Jack PalladinoJaman hata kufagia ofisi je
Lishawaka yaani,kuna watu wanachagua msosiLazima jiko liwake yaani
Haya nakutumiaTutumie basi pm
Ongea basi na boss wako vizuri na mie nisiwe nashinda kulala kwenye makochiPameja mpaka mlangoni af naogopa utachukulia ujue mimi na mlindia Jack Palladino
Boss acheki achekeshi ukikaa vibaya unakula kichambo then unaenda kufanya kaziOngea basi na boss wako vizuri na mie nisiwe nashinda kulala kwenye makochi
Mi nilikuwa standby nasubiri umshindwe nimchukue mrembo huyu😊Pameja mpaka mlangoni af naogopa utachukulia ujue mimi na mlindia Jack Palladino
Kwahiyo umefikia hapo?View attachment 2508801
Ukianza hii tabia ya kulalia matunda hakikisha una kiporo cha wali kwenye fridge
Hello Monday![]()

Nimekuachia simuwezi kabisa huyuMi nilikuwa standby nasubiri umshindwe nimchukue mrembo huyu😊
Hiyo siku anitag vizuri sio kama leo sijaona tag yake kabisa😅Me na Jack Palladino tunataka tukuone best yetu
Ahahah kwhio nimekutag vibaya 😂😂Hiyo siku anitag vizuri sio kama leo sijaona tag yake kabisa😅
Me nitakua namsaidia kukutag vizuriHiyo siku anitag vizuri sio kama leo sijaona tag yake kabisa😅
Lenie kijana amekubali kushindwa. Any comment?😆Nimekuachia simuwezi kabisa huyu