Selfika na JF: Snap it. Show it

hahaha pastor P, Yani ningeanza kula toka usiku nikasema ngoja kukuche . nilifaidi vizuri .
Jitahidi kuamka alfajuri mapema ufanye sala kwa mola wako kisha unywe maji ya uvuguvugu na mazoezi kidogo kisha ukaoge na maji ya uvuguvugu na sio ya moto wala ya baridi.
 
Jitahidi kuamka alfajuri mapema ufanye sala kwa mola wako kisha unywe maji ya uvuguvugu na mazoezi kidogo kisha ukaoge na maji ya uvuguvugu na sio ya moto wala ya baridi.
asante sana kwa mwongozo hapo kwenye mazoezi ndo sijui kama nitaweza . Mie mazoezi yangu ni kutembea kwa mguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…