Selfika na JF: Snap it. Show it

au nakukula kwanza ndio nakusukumia motoni
afu kwann watu wakikataliwa ndo wanakuagaa bitter sanaaaa.

Kuna jamaaa ameanzaa kunifuatilia tangu tuko 1St yr kitendo cha kumkataaa, yaan anafanyaaa kila namna niumiee.
Ananikutaaa hata sishtukiii.

Huko motoniii mie hamnikutiiii hataaa.

Nitaketi kuume kwa baba. Nikisifu na kuabuduuu.
 
na kwanini umkatalie mtu kumpa maku, huku umeikuta tu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…