afu kwann watu wakikataliwa ndo wanakuagaa bitter sanaaaa.
Kuna jamaaa ameanzaa kunifuatilia tangu tuko 1St yr kitendo cha kumkataaa, yaan anafanyaaa kila namna niumiee.
Ananikutaaa hata sishtukiii.
Huko motoniii mie hamnikutiiii hataaa.
Nitaketi kuume kwa baba. Nikisifu na kuabuduuu.