Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwako Nanaraaa ... chief Mzee wa kupambania uneona jicho hiloo 🤣🤣🤣🤣 kama unajua unajua tuuu....
Screenshot_20230118_231412.jpg


maninaa walahi waburushi sio watu... wazuri wana roho mbaya shetani akapige tuition
 
waburushi shida yao, kwenye pesa wanakua kama mashetani, hawashindwi kukuua.. nina memory nao mbaya sana hao watu.. alafu hiyo pili kama umesoma Cuba ile course flani tayari code ipo wazi 😅😅😅😅
Kweli aisee kuna mwanangu alimweka ndani mtoto wa kiburushi kasafiri demu kaenda kwa mwenye mkwanja kumzidi tena Dubai. Wazee wa code tumeshaelewa mkuu 🤣🤣🤣
 
Kweli aisee kuna mwanangu alimweka ndani mtoto wa kiburushi kasafiri demu kaenda kwa mwenye mkwanja kumzidi tena Dubai. Wazee wa code tumeshaelewa mkuu 🤣🤣🤣
inabidi nirudi Cuba hivi karibuni kuongeza mbinu za kimedani.. waburashi sina hamu nao 😅😅😅
 
Hapa kila aina ya ushenzi na uchafu utaupata. Hapa Shetani mwenyewe anakaa pembeni na notebook anachukua hints 🤣🤣🤣
😃😃😃😃 hao ndio wanawake sasa.. sio hao wetu, malingoo mengiii kama wana mili ya makaratasi.. hapo penyewe mzee.. kila jioni ukitoka kazini unapita kusabahi ndio unarudi home
 
Back
Top Bottom