amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Huo ubavu najua huna
Ngoja nikusaidie.picha alotoa hii hapa, baada ya kuiona nikaacha kuhangaika maana nimeitafuta sanaNimescroll Hadi nahisi ganzi dole gumba kumuona beautiful kapeace lakini wapii
Nimeshaifuta ntatuma nyingine kesho natafuta camera na hotel kali ili na mie nisifiwe,,,, bwahahahaha






MP zitakuvunja goti karmaAise huu uzi unakimbia kama rocket yaani ukitoka tu kwenda kumjibu mtu pm ukirudi unakuta comments mia kidogo zimeongezeka khaa
, na rafiki yangu ana jina kama lako ila yeye Ni mnene mweusi chocolateKwahiyo hauamini?Huo ubavu najua huna
Ngoja nikusaidie.picha alotoa hii hapa, baada ya kuiona nikaacha kuhangaika maana nimeitafuta sanaView attachment 1219021
Kumbe ulifuta eeehhhebu nitumie sms mtoto mzuri
Kwahiyo hauamini?
Utaweza kutembelea kwelii!?Ninunulie.
Hebu hukoomaandalizi
Yeah duniani kuna artists wa viwango vya SGR mtu anakutazama mara moja tu halafu anakwambia nipe lisaa limoja kitu kitakachotoka hapo utaanza kujiuliza hivi hii picha nilipiga lini vile??Hahahaa hii picha haijachorwa japokua kuna wachoraji wanaustadi wakuchora ikatoka picha kali kuliko canon
Kilima kinachosha mpaka nilitamani nishikwe mkono na jirani anipe msaadaHayahaya
Panda hicho kilima taratibu mkuu
Eti sijatuma picha?Abeeee
Kumbe unatumia picha halisi kwenye avatarAnza na hiyo....picha ya kakucha coming soon
Don Clericuzio tunguli za Mshana Jr zimenibamba
View attachment 1218986
Asante mwaya!Pic yako ya leo imefunika zogo lote la jana
Mwanya na sura rangi ile, sikung'ong'i reception imetulia sana kuliko hata ya yule ulimpost kureeeeee juuu