Love usiseme watu wa huko ni unique, wakigombana hakuna polisi alikuwa akiingilia. Kuna maugomvi ya koo miaka na miaka.
Polisi hawagusi, Mkurya akikwambia nitakugecha, panga lazima lishuke na damu.
Walishindikana, mpaka wakaundiwa kanda maalumu ya kipolisi.