Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,301
Mimi na huyo Bantu Lady hatujuani kabisa nashangaa unasema nilipewa manjonjo msiniuzie dhambi mimiInawezekana ulifanikiwa kuchat tuš
Mimi na huyo Bantu Lady hatujuani kabisa nashangaa unasema nilipewa manjonjo msiniuzie dhambi mimiInawezekana ulifanikiwa kuchat tuš
Bora umesema ukweli mkuu!š»Mimi na huyo Bantu Lady hatujuani kabisa nashangaa unasema nilipewa manjonjo msiniuzie dhambi mimi
Niombe radhi kwanza..š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£ Bange Zangu tyu sometimes nakujua u mutu ya watu peace and loveāļøāļøāļøāļøāļøāļø Hebu nipe š Kwanzaaaaaš
Unamtaka na sumbai ?
Umepumua eeeš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Bora umesema ukweli mkuu!š»
Yaani wewe ni mnaa sana. Nilikuona sana. Rudi huko nyuma uone alinidedicate wimbo... utajinyonga. Kila unaponisagia kunguni ila hawafi ššššš š„ Cheer's GlennUnamtaka na sumbai ?
Hilo ni dogo langu jana nilimwambia tumpishe Jack Palladino umkuze kwanza.
Yeye amemrudia cute b wake
Inabidi wanaselfika wafahamu Bantu Lady ni wangu wapunguze vurugu!Unamtaka na sumbai ?
Hilo ni dogo langu jana nilimwambia tumpishe Jack Palladino umkuze kwanza.
Yeye amemrudia cute b wake
Kelele zinafanya ni mpende zaidi!!šUmepumua eeeš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
Uonapo amani shtuka...ukiona kuna kelele ni salamašššš
Kelele zinafanya nimpende zaidi Bantu LadyUmepumua eeeš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
Uonapo amani shtuka...ukiona kuna kelele ni salamašššš
Mwanangu sasa na wewe unakitembeza hadharani?Yaani wewe ni mnaa sana. Nilikuona sana. Rudi huko nyuma uone alinidedicate wimbo... utajinyonga. Kila unaponisagia kunguni ila hawafi ššššš š„ Cheer's Glenn
My babe Bantu Lady vita ni kubwa!šMwanangu sasa na wewe unakitembeza hadharani?
Si utulie na Jack Palladino mzungu pori wetu Bantu Lady
Unanisibisha sana kujigeuza kidume hee.
Au nimwite
ERoni pia?
Mwanamke tulizana
So unataka nikuitie mbu?H
Kelele zinafanya nimpende zaidi Bantu Lady
Tulia wewe uangalie movie inavyoenda. Utajuaje kama hiki chakula ndiyo ur favorite bila kukionja? Niache nitatulia nikifika my destinationMwanangu sasa na wewe unakitembeza hadharani?
Si utulie na Jack Palladino mzungu pori wetu Bantu Lady
Unanisibisha sana kujigeuza kidume hee.
Au nimwite
ERoni pia?
Mwanamke tulizana
Huwezi amini katika wote mimi tu ndio nilianza kuulizia afya yako madamš¤£š¤£Nasubiria matusiiii tyu hapa Glenn anityukaneeee hadi nikome kumchokozaa,š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
Najiandaa kupambana nao nikisaidiwa na Antonnia š¤£
Daaah haiwezekani kabisa unaomuonea my babe Bantu LadyMke mwenyewe mapepe kushinda
cocastic š¤£š¤£š¤£
Bora nilikupiga chini utakuwa mzaramo wa mafiga 3Tulia wewe uangalie movie inavyoenda. Utajuaje kama hiki chakula ndiyo ur favorite bila kukionja? Niache nitatulia nikifika my destination
[emoji23][emoji23][emoji23]