Ulikuja kuniaga tu mwananguUsiku mwema mdudu
Lala acha keleleUtajijua
Me nalala
Am tayad
Eeh ndio, sina lingineUlikuja kuniaga tu mwanangu
Dogo langu mwaka huu tumesalimiana kweli?Em lala
Una amani lkn mdu..?Eeh ndio, sina lingine
Amani ipo full hadi inamwagika mduduUna amani lkn mdu..?
Aaaah nafurahi kusikia hivyo mdu..Amani ipo full hadi inamwagika mdudu
😂😂
Ohoooo….@Chakorii ninekumiss pia, tena sana. Nimeona kitu kizuri juu huko, kitu kizuri kweli kweli.
Ohoooo….@Chakorii ninekumiss pia, tena sana. Nimeona kitu kizuri juu huko, kitu kizuri kweli kweli.
Una upendeleo eeeOhoooo….
😄😄 unamambo wewe….
Nikija nitakusaka huko ulipo nikutoa nikuone tu
Eeeeeh best wawapost babee zao tuwaoneeee.Jambo jema hilo
Hahaha Coca![]()
Nakuambiaaaa mambo ya koffi olomide na mie wapi na wapi?Mi nimelipenda huko mikononi kulivo tyu fashionista !!
Lina kipedo chake! Kilivo nikivaa nakua kama kofi Olomide
Siku ntakivaa nije kukublesi upasuke mbavu kwa kicheko mbona navokujua utanikanaaaaa kabisa![]()






ufanyee umpee beki 3 wako akatambe kwa mchumba ake boda boda huko. 







Mwenzio nilikua nainamishwaa na kukunjwa 7, hapa tumemaliza round 1 in 2 goals, mwenzangu anatafuta usingizi, mie naswampaaaaa mitandaoniiiiii.









Naumwaaaa vitu vitu tu Dr..Tumbo hata silielewi mimi!





mimba changaa,