About ya CuzWhich issue lil bro??
Na kuipita mbali sana.mmhh kwani we miaka 30 umefikisha??
Watu kama nyinyi ndo huwa mnapanikisha watu kwenye NECTA. Maswali matatu unatumia Booklets 3 kumbe ni vile limwandiko lako likubwa unaishia wachanganya wenzako ambao ndo kwanza hata nusu ya Booklet hawajafika
Hukuscreen shot? Au hukuona kama kawaida yako?na umepitwa sana tu maana kuna watu wametuma hadi sura ila wamefuta
Location.. Somewhere deep in the bushes View attachment 1266087
Kalumanzila ni vitu zipi hizi unatuoneshaLocation.. Somewhere deep in the bushes View attachment 1266087







Umeshindikana.Nimefowadi kutoka gugoo![]()
About ya Cuz
Na kuipita mbali sana.
Uwahi jamani.Mmhh ngoja nikuje pm tuongee vizuri
Hukuscreen shot? Au hukuona kama kawaida yako?
Hahahaaa itategemeana sasa.. ndio ufanye mpango sasa..Haha naona unataka kumuoa pacha wako,, ila aisee mgeoana ninyi sipati picha hao watoto ambao wangetoka hapo..
Haha! Kuna kichwa kimoja nimewahi kiona pale Udsm akili yake alikuwa anaijua mwenyewe. Imagine pepa ishaanza baada ya dakika ishirini ye ndo anaangaika kutafuta Venue. Baada ya nusu saa unakuta huyo anasimama anakusanya kikaratasi yake. Last to Enter, First to Leave.Halafu hauwezi amini pamoja na limuandiko lote hili ila sijawahi kuongeza booklet maishani mwangu na essays nilikuwa naandika points zaidi ya nane na kila paragraph ina lines zaidi ya sita,, hesabu sasa ndiyo usiseme..
Hata mimi nilikuwa nawashangaa wale wanaoongeza booklet walikuwa wanaandika vitu gani,, lakini pia nilikuwa nawashangaa wale ambao baada ya nusu saa au lisaa limoja tayari wamemaliza wanaondoka aise nilikuwa nabaki mdomo wazi..



mimi na wewe tena,, nilitaka tu na leo ulale taa ikiwa on..Walah leo ndio nimethibitisha hunipendi![]()
Hahahaaa itategemeana sasa.. ndio ufanye mpango sasa..