cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,237
Sema huyu mtu alieleta stika alaaniwe anatunyima uhundo sana





khaaaahHebu tema mate tumpigeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema huyu mtu alieleta stika alaaniwe anatunyima uhundo sana





khaaaahRangi ya mtumeeee MarshalaahNapenda kuwatakia wana selfika wote kheri ya mwaka mpyaaa,
Sina mengi zaidi ya kushukuru kufika hadi siku ya leo, nimepita mengi mazuri na mabaya huu mwaka. Ila leo tuna uaga rasmi.
Hapa JF n nyumbani na Selfika ni chumbani, na wadau wa jukwaa hili ni familia. Pale nilipokosea mnisamehe, mie ni binadamu nna mapungufu na madhaifuu yangu, mnivumilie. Wale wote walio nikosea kwa moyo mkunjufu mie nimewasamehee tuanze upyaaa na tugange yajayo.
Nawapendaaaaa wotee, mnaonipendaaa na mnao nichukiaaa, wotee mie nawapendaaaaa
Happy New Year 2023.
By
cocastic View attachment 2464863
Sent using Jamii Forums mobile app
EmojiUmeona nini ??
Utanipa akaunti namba nikutumie kwa Money Gram 🤪🤸🤸Mie hiyo 1 tyuuh itanitoshaaaa sanaaaa.
Sitaki kulewaaa sanaaa, Mr kimamboo hataki mchezoooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi stika hazitutendei haki kabisa
Narembuajee hapaaa usingizi kiloooo soon ntapitiwa na usingizi Ikifika saa sita kasoro 5 mniamsheHayo mausingizi yako umeyahamishia huku?
Bwana weeRangi ya mtumeeee Marshalaah
Nakupendaaaaaaa sanaaaaaa shougaaaaa mbogaaaa akeee,Nougaaa sana kipenzi pozi zako tyu mi hoooooiiiiii!
Nasie tunakupenda sanaa trenaa sanaaaa tyuuu diaaaa uwepo wako ni muhimu sana Selfika mamaaa!!
Unachangamsha sana uziii kwa Staili yako ya kipekee sanaa darling
Tonniah loves you much more sweetheart!!





unajua had nikiwa nje ya JF naweweseka na wee, utakuta naongea na mtu as if napiga umbea na wee sometimes huwa wanashangaa had najistukiaaaa. 




Wee mwenyewe yako umeweka stikaHizi stika hazitutendei haki kabisa
! Toa watu watoe
Ahsanteeeeeeeeh DearFashonistar
Kheri ya mwaka mpya kwako pia![]()





Ammmmiiiiinaaaaaaa kubwaaaaaaaaaa...tenaaa kubwaaaaa sanaaaaaaaaNakupendaaaaaaa sanaaaaaa shougaaaaa mbogaaaa akeee,
unajua had nikiwa nje ya JF naweweseka na wee, utakuta naongea na mtu as if napiga umbea na wee sometimes huwa wanashangaa had najistukiaaaa.
Ushougaaa wetu unogeeeee mileleeee.
Sent using Jamii Forums mobile app














!!Tublesss basi na kapicha in Antonia voisiiiEmoji
Ya kwangu utaiona kule e e e e e eWee mwenyewe yako umeweka stika! Toa watu watoe
![]()
Eendiwoooooooooo mkuu!!
Rangi ya mtumeeee Marshalaah





aaaah wapiiiii, michoshoooo tyuuh.
.



sorry kwa watu weupeee, mnisameheee. NaaamBwana wee
Wapii????? kwa Umughaka amaYa kwangu utaiona kule e e e e e e



???