Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sea cliff Hotel 😂😂😂😂

Nimevurugwa na kavideo huyo mtu aliyeweka
Nikashindwa kunyamqza aise mpk nijue location.

Dah sijategemea
Hahaa kumbe ni hapo
Em video nione

Kutoka kijiweni kwangu na hapo ni mwendo wa dk chache sana, ukuje nikupeleke
 
Hahaa kumbe ni hapo
Em video nione

Kutoka kijiweni kwangu na hapo ni mwendo wa dk chache sana, ukuje nikupeleke
Video kali sanaaaa
Sema tekno yake imemuangusha kwenye quality


Siji
Si mlikataa nisije
Mkaona haitoshi, mkanipiga kitu simu ipotee
 
Video kali sanaaaa
Sema tekno yake imemuangusha kwenye quality


Siji
Si mlikataa nisije
Mkaona haitoshi, mkanipiga kitu simu ipotee
Watu wenye aifon mnakuaga na mazarau sana, hivi ni kwanini

Kwahiyo umesusa?😂
Njoo tukupe treatment hujawahi pewa tangia uanze kuvaa high heels

"We the best" you know waraimin
 
Wige msinigombanishe bwana, hujaona maneno ya Antonnia, mnasumbuka kumbe kuna mwamba anakula mema ya nchi, nyie endeleeni kubwabwaja hapo
BL

Yupo anapapaswa taratibu huko na mizee

Wewe chukua chombo hiyo

Mtoto ana aibu zote

Wewe ndio utakuwa mwalimu wake

Shika pale

Ingiza hapa

Kata kule

Fanya vile na atakutii

Yaani wewe tu ila tu usije ukamuumiza

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
2023
20221230_184906.jpg
 
Watu wenye aifon mnakuaga na mazarau sana, hivi ni kwanini

Kwahiyo umesusa?😂
Njoo tukupe treatment hujawahi pewa tangia uanze kuvaa high heels

"We the best" you know waraimin
Aifon which 🤣

Nitascreen record uone venye camera yake imemuangusha. Ila location imenizuzua ubongo.

Nimesusa
Na hamna kitu mtanifanya

Ai donti knw
 
Back
Top Bottom