Yaani havieleweki aiseeHahaha haha...
Ni kweli Mkuu kwa migahawa ya Hali ya chini chakula, waandaaji na mazingira kulook miserable ni part and parcel...
Uvuvi tuachieni sisi wanaume Mkuu..
Sio utani eti serious, na ukituma hakikisha nipooo, nisipokuwepo utaingia gharama ya kunipa mie tenaa.unani panga kweli yani
nitaingia kingi kweli..







njoo tufanye kitu kwenye kimbwetaSio utani eti serious, na ukituma hakikisha nipooo, nisipokuwepo utaingia gharama ya kunipa mie tenaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nitumie kwan vocha nawee, ndo ntakuja hapoooo.njoo tufanye kitu kwenye kimbweta
Peleka mbususu hiyo
😁😁😁 vocha uwe unasema mchana.. hukuji kwaiyo
Wige mie stakiii ujue.Peleka mbususu hiyo
Unaringia Nini
Kitu chenyewe umepewa bure
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app










woga wako tu, alafu kweli nipo around haya maeneo ningeshare Google map .. sema nisije uza ramani 😁😁
woga wako tu, alafu kweli nipo around haya maeneo ningeshare Google map .. sema nisije uza ramani![]()





hata km mie sipo maeneo hayoo, niko home nimelalaaa. Wasi wasi wako tyuuh. unalalaje mapemaa hivihata km mie sipo maeneo hayoo, niko home nimelalaaa. Wasi wasi wako tyuuh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nfanyeje mie? Niko zangu kwa Bed nautafuta usingiziunalalaje mapemaa hivi
same here naweka hivyo ..Two packets Mkuu za 70gms..
Binafsi huwa nakatia just karoti, hoho na kitunguu..
Huwa unanunua wapi?
Weka pichasame here naweka hivyo ..
nanunua Jambo supermarket ..
Kwangu mieUgeni huo unatokea wapi???
tuone yako kwanzaWeka picha
Li KENZY hilotuone yako kwanza
likewiseNinawaombea,
wiki hii ikawe ya kujibiwa Sala zenu.
Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.. Aamen![]()