Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe unaweza pitia apo magengeni;

mtoto wa kishua wewe! Haha unaanzaje anzaje kutokuwa vizuri.
Hiyo njia ya magengeni kwa wenye gari.. sie watu wa daldala tunashuka hpo chama na kuchukua bajaji au bolt .

mlalahoi tu mie

January hiyo inakuja niende kushangaa huko ... nibaki mwezi mzima najiuliza πŸ˜…πŸ˜…
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie ninge mfurushaaa kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha coca inabidi uwe mpole , akiwa Boss wako je ?
tulisoma kile kitabu jamni hadi njaa ikaniuma πŸ˜…

yule mkaka ana masters hivyo na ndo anamshushua hivyo
 
Hiyo njia ya magengeni kwa wenye gari.. sie watu wa daldala tunashuka hpo chama na kuchukua bajaji au bolt .

mlalahoi tu mie

January hiyo inakuja niende kushangaa huko ... nibaki mwezi mzima najiuliza πŸ˜…πŸ˜…
Zinavoishaga akili ya kupata nyingi zaidi ya hizo ulizonazo ndo huwa inakuja vizuri.

Don't be afraid.
 
Zinavoishaga akili ya kupata nyingi zaidi ya hizo ulizonazo ndo huwa inakuja vizuri.

Don't be afraid.
Upo sahihi ..
when you spend ghafla unapata kidogo .

nimepanga nikienda kule nakaa hdi usiku nione panvyokuwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…