Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha ukoo wetu watoto wa kike ni wengi kuliko wa kiume hivyo nina madada nina wadogo wa kike na nina mabinamu wa kike wa kutosha tu

Halafu kati ya wote hao hakuna aliyefikisha hata miaka 30 wala hakuna aliyeolewa japo wapo ambao tayari wana watoto na wapo ambao wameshachumbiwa tunasubiri kula pilau tu (nazungumzia wale ndugu wa karibu kabisa hasa upande wa mama)
@karma kumbe una cousin wa kike
age yangu kabisa huyo
 
Hebu do the needful basi 😁
 
Naomba tuwe marafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…