Selfika na JF: Snap it. Show it

hahaah ukamkaushia halafu wanajua tu utampisha ... anasimama pembeni yako kabisa .

nashukuru route nayokaa haina shida ya usafiri .. watu wanashuka njiani .. hata ukisimama huteseki
Nilikuwa nimechoka sana, kichwa kinanigonga Kwa kweli nisingeweza kusimama.
Tena nilikaa dirishani,mwenzangu ndio alikaa pembeni
 
Juzi nimepanda mwendokasi,nimechoka wee halafu anaingia mama na mtoto.
Badala asogee kule Mbele kwenye zile siti zao, amepandia nyuma na anatuangalia usoni.
Kwa kweli sikupisha mtu .
Unahitaji private car mchumba, acha nipambane nikutafutie ndinga.
 
Nilikuwa nimechoka sana, kichwa kinanigonga Kwa kweli nisingeweza kusimama.
Tena nilikaa dirishani,mwenzangu ndio alikaa pembeni

kuna seat sio za kukaa kbisa inahitaji uwe kauzu labda
ukiwa unaenda mwendo mrefu kusimama sio poa kabisa .
 
Mkali wa hizi kazi
Na hapo sijaweka Cocoriko yenye Live band na ile Cocorkko nyingine ya Club & Lounge.

Sijaweka Mopao- Moshono

Sijaweka Blue stone- unyama sana hapo, ushuani yan, little expensive

Sijaweka Orlando yako 🤣

Sijaweka The Don

Sijaweka Viavia kwa wqzungu

🤣💃💃

Nipo njiani naenda kwa bro
 
Orlando😍
Aende hapo nilipafurahia sana

Yaani umejizungusha hadi usiku huu ndio unaenda kwa watu
 
Gombea tu ubunge Arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…