Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Nimekonda sana
Nilikuwa kwenye mfungo.
Nashangaa watu wanahangaika kuondoa vitambi wakati njia rahisi ni kufunga(fasting)
Nimekonda sana
Yaani hadi wewe?
WePamoja mkuu, u mrembo sana.
Picha huwa naweka hapa hapa bila emojFanya pm kwangu kupendeze kidogo
Natoa wapi ubavu😂
Duuuh na kweli tumbo limeingia ndani.Nimekonda sana
Nilikuwa kwenye mfungo.
Nashangaa watu wanahangaika kuondoa vitambi wakati njia rahisi ni kufunga(fasting)
Yanayo
tuna vitambi sugu na kula twapenda.. mambo yana ingilianaNimekonda sana
Nilikuwa kwenye mfungo.
Nashangaa watu wanahangaika kuondoa vitambi wakati njia rahisi ni kufunga(fasting)
Mwongo wewe. Hahaha!! Fanya mpango nione picha yako acha fix Mamiloo.
Amini kwamba. 😍😍😍We
Kweli?
Wee utakuwa hupend kula tunapenda kula kupika ni lazima😂😂😂




Hongera mkuu.



Huwezi kuamin,, ila leo naenda kununua plug za piki piki 4,, nazichomelea kuna jirani mnoko mno hapaHongera mkuu.
CCWB tumekaa pale
Tunasubiri tu muda tuanze kuzilipua barutiView attachment 2454128
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Jina lako naogopaCarrasco putin tchatcho mbala!