cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
hahhaa kaa nao karibu uone
anakuwa rafiki yako pia . kwan shida iko api ?





sasa mzee drama zangu atawezaa? Vijana enyewee nawapasua kichwaaaa. utatulia tuli nakuambiasasa mzee drama zangu atawezaa? Vijana enyewee nawapasua kichwaaaa.
Uwiiiiiih.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu infinix siunajua umri umetutupa mkono kukimbizana na fashion za simu tulimaliza hio stage
Kweli natumia infinix Zama za kukimbizana na fashion za simu zimetutupa mkono,,Ngoja ukue utaelewa nini namaanisha
ni simu nzuriKweli natumia infinix Zama za kukimbizana na fashion za simu zimetutupa mkono,,Ngoja ukue utaelewa nini namaanisha
Ili nigundue nini kipyaa!!Hujui tu utamu vijana walionao
Vinasimamia kucha utadhani siku hiyo
Ndio mwisho wa shughuli
Kape tu
Kwani kanaondoka nayo?
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
💃💃💃💃💃💃😘😘😘😘😘wazee hao aririririi .
Sure ,,niaje mdogo wangu kitamboooni simu nzuri
very affordable na zinakaa na chaji
Naenda nao adooadooo 🤣🤣🤣🤣🤣!!
Sema haki ya naniIli nigundue nini kipyaa!!
Napewaa yoteee hadi yananiziidiaa!! Hapa nilipo ni mwisho wa reli Kigomaaa!!![]()

Mkuu Nielekeze chimbooo zuri la mduduuu hapo iringa mjinii!!Sure ,,niaje mdogo wangu kitambooo
🤣🤣🤣🤣!Sema haki ya nani
Kwamba kule ilikuwa mwanzo wa reli
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Umeanza uvuvi wakoSure ,,niaje mdogo wangu kitambooo
PaleMkuu Nielekeze chimbooo zuri la mduduuu hapo iringa mjinii!!
Na babu yenu wa mchongo yulee namwita nani sijui ndoano zao nuksi sana🤣🤣🤣🤣🤣😁!Umeanza uvuvi wako
Ebu kunywa hiyo togwa yako
Hapo ndiuka
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Nazurula tu...
@GrahamsNa babu yenu wa mchongo yulee namwita nani sijui ndoano zao nuksi sana!