Selfika na JF: Snap it. Show it

Aaaah finalist sisi tushakua wazoefu, hatutasumbuka sana, labda ujauzito usumbue, hapo sawaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Labda kwenu hapo ... Wakati tupo tunamalizia rafiki Yangu alipata ujauzito semester ya pili tena , nusu aandike barua ya kuacha masomo ..
Research ya MU hapana , wanakusumbua kichwa hadi utajuta kusoma .
 
Kweli Sijui mjomba nipe maelekezoooo Nimfurahishe babaenuuu mjombaaa!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mie wifi yako huwa nikiwa kama nimepumzika anapitisha taratibuu kama anapiga mstari mgongoni mwili unasisimka hata kama nilikuwa na uchovu unaisha au akiwa ana ni massage miguu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kumbe naotaaa tuu
 
Lol kumbe ndio siri nilikua sijuiiiii!
Wabheja sana kunipa mbunu mjomba unafauduuu!!
 
Labda kwenu hapo ... Wakati tupo tunamalizia rafiki Yangu alipata ujauzito semester ya pili tena , nusu aandike barua ya kuacha masomo ..
Research ya MU hapana , wanakusumbua kichwa hadi utajuta kusoma .
Mie ntamaliza fresh na katoto kangu, katoto ketu na kenyewe katakua ka Genius. Tena katafata Taaluma yetu wazazi wake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…