Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukimkuta wa hivo mtupie jini
 
Watu tunajizima data tu mjomba!!
Siku hizi kuna shida sana kwa vijana, ila ukweli ni kwamba wanachotakiwa kufanya hawafanyi. Mfumo wa maisha sasa hivi unahitaji umakini sana, pia kumuomba Mungu na kujua vipaumbele vyako na namna sahihi ya ku execute .. watu hawajui priority zao kama ndi mapenzi au uchumi au familia lazima yawatokee puani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…