Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio napumzikaga hapo

Dadaake

Kabinti kazuri ila kalokole

Kila kitu ni kusali sali tu

Hadi naniliu

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Kipimo cha kwanza ufunge siku 3 kavu
Tukimaliza tunaanza siku 40

Ila kila mtu na wa kufanana naye,
Huwezi amini huwa tunasali maombi pamoja na baba mtumishi

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Ipo maeneo gani?? Asante mamy barabarani kabisa sipendi makelele ya Magari na movement za watu hovyo hovyo!!
Ipo Mbeya mjini.
Barabara ya Skuu Uyole.
Unashuka kule sokonne NBC bank.



Kumetulia,miti kama yote.
Upepo wa kutosha
Kule sasa ndo kwenyewe.
Utulivu wake ni zaidi ya hapo Beacco.
 
Back
Top Bottom