Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asubutuuuu
We hutoboi kuwa na binti wa mimi,, lbda mdogo wangu
Wala sikutanii, ningeruka mapema ningekuwa na binti wa rika lako, sasa mtu kama uko 22-25 kwa nini nisiweze kuwa baba yako. Sema tu zamani wazee walijitahidi tusiwekane tukiwa wadogo
 
Wala sikutanii, ningeruka mapema ningekuwa na binti wa rika lako, sasa mtu kama uko 22-25 kwa nini nisiweze kuwa baba yako. Sema tu zamani wazee walijitahidi tusiwekane tukiwa wadogo
Kama unaweza kumzaa wa 25, sawa.. shikamoo baba 😆🔥
 
Marahaba binti,
Sema sasa hatutaki kuitwa wazee coz tunaruka na vibinti vyetu aloo, dah...hii zambi siifanyi tena!
😂🤣🤣🤣 mna hatari sana
Huko road unaweza hisi mtu na mjomba ake wanatembea, kumbe ni daddie na mchuchu wake
 
😂🤣🤣🤣 mna hatari sana
Huko road unaweza hisi mtu na mjomba ake wanatembea, kumbe ni daddie na mchuchu wake
Vingine kweli vinatutaka vyenyewe🤣 ila ni vitam sana, sema sasa kweli tuko na vianko vyetu njiani kumbe watu wanaenda kuwekana Lodge!
 
Vingine kweli vinatutaka vyenyewe🤣 ila ni vitam sana, sema sasa kweli tuko na vianko vyetu njiani kumbe watu wanaenda kuwekana Lodge!
😂😂 vinawatakaje bana, mnavilaghai na subaru zenu 😆
 
Back
Top Bottom