Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asubutuuuu
We hutoboi kuwa na binti wa mimi,, lbda mdogo wangu
Wala sikutanii, ningeruka mapema ningekuwa na binti wa rika lako, sasa mtu kama uko 22-25 kwa nini nisiweze kuwa baba yako. Sema tu zamani wazee walijitahidi tusiwekane tukiwa wadogo[emoji1787]
 
Wala sikutanii, ningeruka mapema ningekuwa na binti wa rika lako, sasa mtu kama uko 22-25 kwa nini nisiweze kuwa baba yako. Sema tu zamani wazee walijitahidi tusiwekane tukiwa wadogo[emoji1787]
Kama unaweza kumzaa wa 25, sawa.. shikamoo baba 😆🔥
 
Kama unaweza kumzaa wa 25, sawa.. shikamoo baba [emoji38][emoji91]
Marahaba binti,
Sema sasa hatutaki kuitwa wazee coz tunaruka na vibinti vyetu aloo, dah...hii zambi siifanyi tena!
 
Marahaba binti,
Sema sasa hatutaki kuitwa wazee coz tunaruka na vibinti vyetu aloo, dah...hii zambi siifanyi tena!
😂🤣🤣🤣 mna hatari sana
Huko road unaweza hisi mtu na mjomba ake wanatembea, kumbe ni daddie na mchuchu wake
 
😂🤣🤣🤣 mna hatari sana
Huko road unaweza hisi mtu na mjomba ake wanatembea, kumbe ni daddie na mchuchu wake
Vingine kweli vinatutaka vyenyewe🤣 ila ni vitam sana, sema sasa kweli tuko na vianko vyetu njiani kumbe watu wanaenda kuwekana Lodge!
 
Vingine kweli vinatutaka vyenyewe🤣 ila ni vitam sana, sema sasa kweli tuko na vianko vyetu njiani kumbe watu wanaenda kuwekana Lodge!
😂😂 vinawatakaje bana, mnavilaghai na subaru zenu 😆
 
Back
Top Bottom