Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,232
Wa 90 mbona hatuko jamaniKwamba aliyezaliwa 1992 amefikisha 30yrs, life's too fast!!View attachment 2435850
Wa 90 mbona hatuko jamaniKwamba aliyezaliwa 1992 amefikisha 30yrs, life's too fast!!View attachment 2435850
Swadddaktttaaaa🙏!!💕Kwakweli kama hayupo wa dhahiri basi yupo wa Siri🥰
Maneno matatu lakini yanaweza kumtoa nyoka pangoni,,,,
Imagine kidume kipindi Cha baradi huelewi, unamcheki manzi ako kutaka kampani yake anakujibu hivyo,,,, huwa tunawehuka,,,, au utasikia ka-message kanaingia "me sijui wewe"""" kibaba hapo chap unajiongeza![]()
khaaNdoa au DOA
hivo hivoHatuvurugikiUsipom Cc
Nakuvurugia kweli

Emoji kubwa sana Madam lol!! Hiko kishati 👌👌👌👌👌👌😘
😂😂😂😂 wa 90 tumechill nyuma huku tunawazoom
Emoji kubwa sana Madam lol!! Hiko kishati![]()





jamani mmeficha koteee...au siyoo...

Basi upo hqpo mkuu, endelea kumalizia ujana

90' uitoe wapi bwana we, wa 90' ujue wana 32 saivi? Tulia hapo na 22 yako..Wa 90 mbona hatuko jamani
32 ndio tunazo sasa90' uitoe wapi bwana we, wa 90' ujue wana 32 saivi? Tulia hapo na 22 yako..
Hivi ujue tungerukaruka ujanani tungekuwa na mabinti kama nyie..haha noma aisee!32 ndio tunazo sasa
22!! Hiyo si ya mdogo wangu asee
Vi ajuza hivyo 😅😅
😅😅😅 Mie huyu natafuta size zangu chini ya miaka 23, humu wengi ni ma ajuza watanifia bure.. unakaa na pisi, ila watu wakikucheki wanaona kama umekaa na mama yako sitaki haya mambo mieAmchukue National Anthem jamani
AsubutuuuuHivi ujue tungerukaruka ujanani tungekuwa na mabinti kama nyie..haha noma aisee!
Toto bichi kabisawa 90 tumechill nyuma huku tunawazoom
Utakuta washaniwahi 😆Toto bichi kabisa
98/99
Ukifika 27 naleta posa