Pitia shairi kwenye nyimbo ya Jirushe Ferouz Ft Jay Mo anasema "hakuna demu wa kwenda naye nyama kwa nyama" ............me naongezea tu unless umepima naye
nimechekaaa kituuuu dyadyaaaa, yule kijana hana hamu na mie tena,
Ananiita shetani wa dunia, ile siku hatuto isahau kamweeee. Tunapitia mengi mnooo,. Nkajuaga yeye anaweza jitetea eti linapigwa linakimbilia kusema "broooh nisamehee sirudii tena"