Selfika na JF: Snap it. Show it

Usijali, 65+ utaifikia tu mdogo wangu. No need to rush kama Watu8
 
Nimekupata kamanda. Hatuwezi kufanana. Na katika utofauti wetu ndimo mna maana halisi ya maisha kama yanavyoishika katika kasayari haka kazuri tulikopewa tukaharibu. Tutakwenda kufanana mbinguni/jehanamu [emoji16][emoji16]
Word.. I once told you!!.
Kila mtu ana Values zake ambazo zinamtofautisha na wengine.. So Cha msingi ni Amani na Upendo..Tuzidi kulisongesha hapa duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…