Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekupata kamanda. Hatuwezi kufanana. Na katika utofauti wetu ndimo mna maana halisi ya maisha kama yanavyoishika katika kasayari haka kazuri tulikopewa tukaharibu. Tutakwenda kufanana mbinguni/jehanamu
Word.. I once told you!!.
Kila mtu ana Values zake ambazo zinamtofautisha na wengine.. So Cha msingi ni Amani na Upendo..Tuzidi kulisongesha hapa duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…