Jamani. Mi 65+ kweli unanipachika udogo wako. Siyo kwamba unipe ukaka mkubwa na shikamoo juu tena huku ukiwa umepiga goti chini kama mabinti wa Kisukuma?
Tuvumilieni tu; na kama ilivyo mtaani, wote humu si mafurushi/mambwa
Nimekupata kamanda. Hatuwezi kufanana. Na katika utofauti wetu ndimo mna maana halisi ya maisha kama yanavyoishika katika kasayari haka kazuri tulikopewa tukaharibu. Tutakwenda kufanana mbinguni/jehanamu
Word.. I once told you!!.
Kila mtu ana Values zake ambazo zinamtofautisha na wengine.. So Cha msingi ni Amani na Upendo..Tuzidi kulisongesha hapa duniani