Selfika na JF: Snap it. Show it

Uanze na ipi kufanyeje kwanza??? Mie wote naona vitoto vishororo tyu kidoooogoo namba 9 huyooo naona nae kidogo sana!! Haya Tinsley Lovelovie mkujee mkujeee chagua hensamu hukuuu!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shogaaaaa c naulizwaaaa mbna na tonnia kmyaaaa, mie najibu sijui hata ila tuko fresh mbna, naambiwa kheeeeeh umepigwaaaa stop uwiiiiiih.

Mie nkajisemea bas JF ina makubwaaaaa woiiiiiiiih.
 
Ccy mim hapo wote ni watoto kwangu. Yani mtu ninae weza kua nae kweny mahusiano angalau anizidi miaka 6. Na sharobaro asiwe kabisa kabisa
No 5 mbna anaonekana mtu mzimaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anza na Bwana
 
Uanze na ipi kufanyeje kwanza??? Mie wote naona vitoto vishororo tyu kidoooogoo namba 9 huyooo naona kidogo sana!! Haya Tinsley Lovelovie mkujee mkujeee chagua hensamu hukuuu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kufaanyaje c kuchat nao naweee, no 9 na 5 ni watu wazima bhanaaaa.
 
Siku nikiotea pisi kali na nikiwa na hela nitaenda nayo huko 😅😅 au siku nikioa
Hiko kisiwa ukiwa hapo ndipo uta feel uko paradise, mchanga wa beach ni mweupee, maji yapo clear sana... ukikaa kwenye hizo overwater bungalows ile mida ya night mko couple na ka upepo ka bahari, aisee mtazagamua humo...
 
Afu dear nlisahau kukutag, eti muangalie vizuri huyu no 4 ni km mkaka wa hapa Selfika, yaan vile vile. Nlshtukaa sanaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ee kuna mtu wanafanana kichwa, ana tabasamu tamu.
 
Ndyoooo yaan vile vileee had kucheka na dental formula, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni yeyeeee huyu.
[emoji23][emoji23][emoji23] em nitachungulia tena picha yake akiweka hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…