Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Dear ipo tu haiwezi kumiss🤣🤣🤣😜😜 Sawa ila tutaona sasa kaa kutakua na ""dear tumeongeza la pili""
subiri ujioneee 🤣🤣
Dear ipo tu haiwezi kumiss🤣🤣🤣😜😜 Sawa ila tutaona sasa kaa kutakua na ""dear tumeongeza la pili""
England 6- Iran 2
Naona unajiamini sana..🤒🤒🤒 oky ngoja tuone hapo badae.. ukichagu ushachagua atutaki kubadili sawa🤒🤒🤒🤒Kujiamini muhimu
🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Sasa hapo refa mnanipa wakati mgumu..anDear ipo tu haiwezi kumiss
subiri ujioneee 🤣🤣
noted sitobadilika kwa kweliNaona unajiamini sana..🤒🤒🤒 oky ngoja tuone hapo badae.. ukichagu ushachagua atutaki kubadili sawa🤒🤒🤒🤒
haha kisa nn🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Sasa hapo refa mnanipa wakati mgumu..an
🥱🥱🥱🥱.... Bado nipo na fake smile hapa.... 🤣🤣🤣 Mjini hapa dooh oky mechi ya saa moja juu chini natoroka🥱😜noted sitobadilika kwa kweli
tufunge au tusifungwe kwa mechi hiyo mie ni team senegal
nipo naangalia tamthilia Sasa nikisubiri match hiyi
Hampo serious an 🤝haha kisa nn
uwe fair tu boss
hahah utoroke tu wewe 🤣🥱🥱🥱🥱.... Bado nipo na fake smile hapa.... 🤣🤣🤣 Mjini hapa dooh oky mechi ya saa moja juu chini natoroka🥱😜
Maisha yenyewe hayapo serious.Hampo serious an 🤝
Yaaaan juu chini must niwepo... Mjipange tuuhahah utoroke tu wewe 🤣
uwe refa wa ukweli .
Maisha hayapo seriously et. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Umekunja na 4 kabisa wewe wewe... Bado ujaitwa kwa kikao hapo🤣🤣Maisha yenyewe hayapo serious.
bado dakika chache game ianzeYaaaan juu chini must niwepo... Mjipange tuu
Ndio, just take it easyMaisha hayapo seriously et. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Umekunja na 4 kabisa wewe wewe... Bado ujaitwa kwa kikao hapo🤣🤣
Mbona mnanistukiza sasa si mmesema sa moja et... Nilipo hapa mpaka kibanda umiza kaa nusu saa hivibado dakika chache game ianze
toroka twakusubiri apa
Umeskiaaaa hiyoooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣"""" bila kibunda tutakula kwa macho""Ndio, just take it easy
Enjoy while it lasts
kikao which 🤣🤣
Lets wait and see T atavonifumuafumuaa😄😄😄😂😂😂! Waaapiiiii Netherlands 💃💃💃💃🤸🤸🤸🥰🥰🥰♥️Wala siegemei ngoja tutaona.. na atakaye fungwa hapo..🤣🤣🤣🤣 sijui itakuaje leo🙌🙌
5 Mins to goooo🤸Umeskiaaaa hiyoooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣"""" bila kibunda tutakula kwa macho""
game saa moja kasoro ujueMbona mnanistukiza sasa si mmesema sa moja et... Nilipo hapa mpaka kibanda umiza kaa nusu saa hivi
Na fujo hizo..🤣🤣🤣🤣🤣 hutoboi wewe🤣🤣🤣Lets wait and see T atavonifumuafumuaa😄😄😄😂😂😂! Waaapiiiii Netherlands 💃💃💃💃🤸🤸🤸🥰🥰🥰♥️
Linaanza muda si mrefuuu..Get prepared 😝game saa moja kasoro ujue
huko ushuani Nini ?