Kwahiyo mnatuambiaje tusiotumia?Shanga ni moja ya chachu kwenye mapenzi, sikuwa nazipenda kabisa, paka kuna siku nilipokutana na mtoto mmoja kavaa shanga moja matata.. Kwisha habari yangu, nimejikuta mdada bila kashanga hata kamoja kama simuelewi vile
HellloScreen shuu tuone..🤏
Hello morning Tinsley.Helllo
Morning beautiful AnneHello morning Tinsley.
😋😋😋Shida zipo tu.View attachment 2420432
Salama[emoji4]Morning beautiful Anne
habari za asubuhi
Alafajiri yote unaamka kutafuta nini 😅😅😅😅 ewe single door.. Acha sasa tulale wazeeKwahiyo mnatuambiaje tusiotumia?
Salama[emoji4]
Nilitaka kuuliza wewe unakujua tegeta.
Kuna kituo kinaitwa Tegeta Kwa ndevu??
Na kama kipo kinafuata kikitoka kituo Gani?
Na Tegeta nyuki kipo wapi?
🥱🥱🥱🥱👋👋👋 Kumekucha....Helllo
Oh sawa akhsante.Yes dear napafahamu tegeta .
ndio kipo kwa ndevu .
ukianza tegeta unaanza kwa ndevu pamechangamka then kituo kinachofata ni Azania baada ya hapo ndo unashuka Nyuki ambapo ndo sokoni .
mfano Kama unatokea Mbezi mwisho/mawasiliano / Tabata segerea Kuna magari ya Tegeta nyuki ya moja kwa moja .
Karibu dear 😍😍Oh sawa akhsante.
Mambo za leo ?🥱🥱🥱🥱👋👋👋 Kumekucha....
Maandalizi ya cha alfajiriAlafajiri yote unaamka kutafuta nini 😅😅😅😅 ewe single door.. Acha sasa tulale wazee
Poa na nzuri sijui wewe.Mambo za leo ?
NakusalimiaMaandalizi ya cha alfajiri
Nikipita nitakutafutaKaribu dear [emoji7][emoji7]
salama tu wewePoa na nzuri sijui wewe.
.. Mungu ashukuriwe sana kwa kutupa uzima leo tena...
Marahaba PB, umeamshwaje?Nakusalimia
Okay dear 😍😍Nikipita nitakutafuta
Yaan ukimanisha...?🥱🥱🥱Marahaba PB, umeamshwaje?