Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Conscious mind vs subconscious mind.

Umewahi kujifunza gari,au baiskeli?

Siku ya kwanza wakati unajifunza unakuwa makini sana kufocus juu ya hiko unachojifunza. Makosa yanakuwa mengi ila hatimaye baada ya will kadhaa unakuwa umeshajua kuendesha gari. Sasa ile hali ya kuwasha gari na kukanyaga mafuta,kufunga breki bila kuangalia chini,kukadilia umbali wa gari lako na la mbele bila kugonga au kichina na Mambo mengine. Haya yalikuwa yanaji download kichwani kwenye akili ya nyuma unaitwa subconscious mind. Siku unapewa gari uendeshe linakuwa jambo jepesi kwa sababu lile file linafunguka Kisha ndiyo linaendesha gari(siyo wewe tena)

Sasa huu ni mfano tu. Ninachotaka kusema Ni kwamba,tunapojifunza mambo mapya,baada ya muda fulani linakuwa ni Jambo la mazoea na Kama Ni Jambo mbaya unajikuta linakuwa gumu kuliacha. Ni unajikuta heri usingejua hiko kitu maana kimeshakuwa na madhara kwako na huwezi tena kukiacha.

Coca,tuselfike ila hii michezo haifai mdogo wangu. Siyo faragha nzuri.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hii nondo sio Mchezo mkuu, nimejifunza kitu. kudos.
 
Wakuu Msaada mwenye anajua ule uzi ambao jamaa anauza muvi kwa sh 5000 za 2022 naomba anisaidie
Hii Boss?
 
Hii Boss?
Sio huu mkuu yaan jamaa mwenyewe ndani ya uzi wake alikua anatoa jina la muvi na anafafanua kidogo hiyo muvi ipo vipi. Mfano kuna muvi inaitwa black box aliitolea maelezo
 
Yapooo sanaa na wanaume wengi wanapenda kuchokonolewa vidole huko kunduni ndo mshipa unasimama dedeee ile nganganga

Ushakutana nao hao..? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Wanaona raha pia wanavyofanyiwa hivo 😂😂😂
 
Back
Top Bottom