Madawa ya kulevya na ushoga ni vitu viwili tofauti, hata utumizi wake ni tofauti, hata madhara n tofauti.
Ndo maana madawa ya kulevya ni haramu na yanapingwa wazi wazi na hukumu yake iko wazi.
Vipi kwenye ushoga? Km kuna somo unataka kunipa, nipe nijifunze, maana napenda kupokea maarifa mpya kila wakati.
Tukirudi kwa swali uliloniuliza mwanzo nami nikakuuliza habari ya madawa ya kulevya,Kuna mambo mawili
1. sababu za kimaumbile za kwa Nini mtu anakuwa shoga.
Kuzaliwa akiwa na homoni ya kike oestrogen ijiwa imezidi badala ya homoni ya kiume ambayo inaitwa testosterone homone. Mtoto wa kiume akizaliwa na Hali hii inapelekea kumanifest feminine behaviors,na hata mwonekano wake unakuwa wa kidemu demu!! HAPA NDIPO ULIPO MTAZAMO WAKO ambao nakubaliana na wewe.
2.Nilikuuliza swali la watumia madawa ya kulevya unakumbuka? Wahanga wakubwa wa madawa ukiwauliza ulianzaje kutumia madawa watakujibu nilianza kujaribu wakati nawaona mabroo wanatumia,hatimaye nikajikuta nimeshazoea. Refer case ya Ray C na Lord Eyez. Unajenga tabia Kisha tabia inakujenga.
Unapomfanyia mwanaume michezo ya kunyonya kinyeo mwanzo anaweza kuona Ni kitendo kinachompa Raha tu. Kadili siku zinavyoenda huyu mwanaume anajikuta si tu kufanyiwa huo mchezo Bali pia ili afurahie tendo la ndoa vizuri basi inabidi umtie vidole. Na pia ili mashine isimame vizuri basi inabidi apate buster ya kutiwa vidole huko kwenye rectum. Sasa huyu mtu ambae anafanyiwa hii michezo Kuna uwezekano mkubwa wa kumaliza mwendo Kama mwanaume. Ndiyo hao wanaume wenu wananunua dildos kwa Siri,wakiwa wenyewe wanafanya kuwa ndiyo uume wanaingiza huko kunako,Kumbe mlishawaharibu kitambo.
Habari mbaya Ni kwamba,binadamu anaongozwa 95%na subconscious mind. Yaani namaanisha hivi;unapomfanyia mwanaume huo mchezo, subconscious mind inadownload hilo file na kulisave(Nitakuelezea vizuri hapa unielewe).
Nyongeza; Kuna vyakula havifai kuliwa na mwanume
Mfano pizza,Baga ,chipsi mayai and the like. 'Food industry' ni silaha moja wapo ya kumdhoofisha mwanaume hapa duniani. Blue band,maziwa ya kopo/unga navyo siyo chakula Bali ni bidhaa.
Sent from my CPH1923 using
JamiiForums mobile app