Selfika na JF: Snap it. Show it

shida sana kuolewa na chapombe kwanza miharufu ile aisee labda awe sio mnywaji sana

arudi tena usiku wa maanane anakufokea na kukusumbua
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ni huzuniii
Na kuna ndoa unakuta mtu anapitia hayo, na wala haondoki
 
Pole aisee [emoji23]
mahusiano ni pasua kichwa
kizazi kigumu , pesa hakuna , mapenzi yanasumbua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] saiv hakuna kitu kitanichanganya kwa mahusiano.
 
Ile harufu ya chapombe ukute anataka kukubusuuuu uwiiiiiπŸ˜πŸ˜πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ! Mwanaume chapombe πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!!
Naonaga Wengine wanafujooo ni mingumi tyuuu uwiii
Aisee chapombe hawafai , ni kukwepa tu mdomo wake hapo .
Bado hapo harufu ya mikojo chooni , shida sana .

wengi wanapiga sana wake zao , pombe ni shetani aisee , inavuruga na kuharibu ndoa
 
Ile harufu ya chapombe ukute anataka kukubusuuuu uwiiiiiπŸ˜πŸ˜πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ! Mwanaume chapombe πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!!
Naonaga Wengine wanafujooo ni mingumi tyuuu uwiii
Hahahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…