Weee kumbe!!! Hongereniii kwahiloooo
Hahaaha noma π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena akae chonjo haswaaaa ntamfurahisha mbna.
Kazi kazi πͺ
Bila shaka ushaogaaaa!! Haya do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Kazi kazi πͺ
Ila mna mchango mkubwa sana kwa jamii, walimu mzidi kubarikiwa sana tena mno π πUalimu Ni kula chaki kwakwenda mbele nakwambia!!
Ugunduzi mpya huo ππWeee kumbe!!! Hongereniii kwahiloooo
Very smart ππππππππ!!
Si tumeambiwa tuwape peace of mind dear tuwalee kama watoto tuwape uhuruuu tusiwahojihoji maswali ya kiwakiii tusiwashutumu with no reason no wivuu wa kijinga ..in Depas voice!!Ugunduzi mpya huo ππ
Eti uwaleee π€£π€£π€£π€£ AiiiiiiiiiiiUjenzi wa mahusiano/ ndoa hizo stability pasee kubwa inaangukia kwa mwanamke..
Wanasema mwanaume nj kama mtoto, eti tuwalee π
Unataka kutupea chaki tutafune π
Mnaleana ππ ila ulezi mwingi unafanya weee πEti uwaleee π€£π€£π€£π€£ Aiiiiiiiiiii
Wewe ndio huitaji kulelewa?
Kama hakupendi hata umbebe mgongoni umvalishe na pampers dyadya utaachwa tu mchana kweupeee.
Ukibarikiwa pregoo ukapenda nitakutumia maboksii kibaooo ya buree kabisa!!Unataka kutupea chaki tutafune π
Zamani nilikuwa natafuna chaki π
Akya naniSi tumeambiwa tuwape peace of mind dear tuwalee kama watoto tuwape uhuruuu tusiwahojihoji maswali ya kiwakiii tusiwashutumu with no reason no wivuu wa kijinga ..in Depas voice!!
Umeziba sana na wewe
ππππMiss me?
Mlezi wa wana endelea kulea tall dark handsome π€£π€£π€£Mnaleana ππ ila ulezi mwingi unafanya weee π
Sasa tufanyeje? Hakuna namna tuendelee tu kuwale π wakituacha basiiii
Uniletee dhawadiiii ππππππ
Endeleeni na ulezi π€£π€£Mnaleana ππ ila ulezi mwingi unafanya weee π
Sasa tufanyeje? Hakuna namna tuendelee tu kuwale π wakituacha basiiii