Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,790
Nina bima ya NHIFUna bima
consultation huko elfu 15
wapi Kitengule au Rabininsia ?
Nina bima ya NHIFUna bima
consultation huko elfu 15
wapi Kitengule au Rabininsia ?
Mimi huyu huyu au mwingine kipenzimmh,ma don wa jf,utawajua tu.
Kho kho
Mtakatifu njoo toa go ahead niendelee na Jack wanguMtakatifu au mtakavitu?
Huyo natafuna mimi
Wewe enda kwa huyo mzee mwenxio
Habari nzuri sn mrembo.habari ndugu ?
Hello madam.Kho kho
Madam mahondaw nakusalimu.Kijana ana laana huyu babu anahitaji maombi!!
Basi hapo hamna shidaNina bima ya NHIF
nzuri sana Kaka .Habari nzuri sn mrembo.
Za wewe?
Yanaenda vizuri Sana dadaa,Mungu ni mwema Sana .nzuri sana Kaka .
maisha yanasemaje ?
Madam hiyo vipi tena jamani SH😝😝Hello madam.
Nilitarajia hili jibu,nimecheka Sana. Niache ukorofi Sasa!!Madam hiyo vipi tena jamani SH😝😝
Mimi Ni mzima wa afya tele dada,sijui wewe.Mzima boss wangu
Huku ni usikuBasi hapo hamna shida
za mchana
😆😆ndo ukorofi uache sasa loh..Nilitarajia hili jibu,nimecheka Sana. Niache ukorofi Sasa!!
Mimi Ni mzima wa afya tele dada,sijui wewe.
Madam, Dar Kuna joto Sana. Kwa hiyo Mimi siyo mzima Sana wa afya. Joto kimeniketea vipele.😆😆ndo ukorofi uache sasa loh..
Jambo la kheri kama Uko mzima wa afya kaka..
Mimi ni mzima kabisa Mungu ni mwema
Na hata huonekani kama kichwa yako unaweza kuifanya ngumu😆😆Madam, Dar Kuna joto Sana. Kwa hiyo Mimi siyo mzima Sana wa afya. Joto kimeniketea vipele.