Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,844
- 57,504
Basi jitahidi umlete nyumbani Bwana Daktari, manake nasikia wana Hela kuliko sisi Wakulima 🤪Ndio babu Sitaki wakulima mie!!
Basi jitahidi umlete nyumbani Bwana Daktari, manake nasikia wana Hela kuliko sisi Wakulima 🤪Ndio babu Sitaki wakulima mie!!
Nipo poa dearNipo vyedi sana kipenzi hope uko poa mamy!!
Namleta babuuuu!! uzuri ashatanguliza ng'ombe tunakuja rasmi desemba babu usiwaze!Basi jitahidi umlete nyumbani Bwana Daktari, manake nasikia wana Hela kuliko sisi Wakulima 🤪
That's good kipenzi!Nipo poa dear
Mungu mwema
Mm soon naoa bossKumbe ni Mwalimu!
Miaka Ile ya zamani Wanaume wengi walioa Walimu kwaajili ya malezi Bora ya watoto wao, siku hizi nyie vijana mnaogopa hata neno Ndoa![]()


Upo karibu na Poker hapo nampigia hapokeinione afu tatu
Asubuhi Nishakunywa maziwa nyumbani mie hapa nasubiria chai ya shule tu 200 yako mpeleke Yolly Yolly!Twende tukanywe chai ya 200![]()
utupe mwalikoMm soon naoa boss![]()
Umekunywa maziwa ya NaniAsubuhi Nishakunywa maziwa nyumbani hapa nasubiria chai ya shule tu 200 yako mpeleke Yolly Yolly!

napenda maziwa mmNa nikiachika nawapa mualikoutupe mwaliko
Siku si nyingi Unawehuka wewe!Umekunywa maziwa ya Naninapenda maziwa mm
Unaumwa wewe eehLocation GPS inasoma mpo Lodge![]()
Haya utupe tutakuja 😂😂Na nikiachika nawapa mualiko