Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,844
- 57,505
I wish ningerudia Ujana 🤪, ila najua vijana hawapendi Wakulima kama Sisi
I wish ningerudia Ujana 🤪, ila najua vijana hawapendi Wakulima kama Sisi
wewe hapoNani ndugu yako![]()
Enjoy aiseeyani yolly yolly kaniroga
Kwan yule x wako si wa jf piaJf nishasaluti kitramboo mie sewaweziiii
!!



Ndio babu Sitaki wakulima mie!!I wish ningerudia Ujana 🤪, ila najua vijana hawapendi Wakulima kama Sisi
Huyo hachagui ww Zama pm chapu ujilie tunda la teacherI wish ningerudia Ujana, ila najua vijana hawapendi Wakulima kama Sisi
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hebu selfika hukoo Tangu jana umedinda kutubless mmmxxxiiieeewww 😂😂😂;!Kwan yule x wako si wa jf pia![]()
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 Kwanza Vishkwambi wanatugawia lini maticha🤔🤔????! Niache nipambane nahali yangu mie mjeda anarudi desemba Kwani Nimesema nipo singo mie sheendwaaaaa!!Huyo hachagui ww Zama pm chapu ujilie tunda la teacher



Uniache 😖😖😂😂
Hvyo vishikwambi tukiwapa mkipoteza mnanunua kwa hela yenuKwanza Vishkwambi wanatugawia lini maticha
????! Niache nipambane nahali yangu mie mjeda anarudi desemba Kwani Nimesema nipo singo mie sheendwaaaaa!!




Nipo vyedi sana kipenzi hope uko poa mamy!!Hello boss lady , habari za leo ?
Ruba ikasome!! Huyo ni Chizi ana cheti chenye lamination kabisa!!Uniache 😖😖😂😂
yaani ukinganagania kitu wewe
nione afu tatu
Kumbe ni Mwalimu!Huyo hachagui ww Zama pm chapu ujilie tunda la teacher
Hahaha balaaRuba ikasome!! Huyo ni Chizi ana cheti chenye lamination kabisa!!
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😁😁😁😁😁 usipoolewa mwakahuuu wewe Sijui!!
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂🤣!!!Kumbe ni Mwalimu!
Miaka Ile ya zamani Wanaume wengi walioa Walimu kwaajili ya malezi Bora ya watoto wao, siku hizi nyie vijana mnaogopa hata neno Ndoa 🤪