Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
NakujaaaNjoo uone
NakujaaaNjoo uone
Utaishiwa kubakwa ukijaribu rusha ndoige😀😀😀Nitakupiga Ndoige 😂😂
Huwezi amini hii siyo nafasi ya upendeleo..Asante sana kwa kunipa nafasi ya upendeleo.😘😘😘
View attachment 2409298
Yani nikiliamulia jambo langu sishindwagi😁
Ila dada tulikuamulia wewe😆😆
Pongezi Kwa Heaven Sent na Chakorii ..🥰🥰🥰
Sasa ole wake shem darling Pep aache kutununulia vitenge vya waksii kutoka kongo😆😆
Karibu sana tusogeze masaa na kufurahi pamoja humu babuu ! Mbona huwa huchangiagi lakini babuu yetu🤔🤔???Marahaba Mjukuu, leo tumerudi mapema shambani kwahiyo nimepata muda wa kusoma soma maoni ya Vijana humu 🤪🤪
Yaani huyo kaka ni wewe kabisa 🤣🤣🤣Utaishiwa kubakwa ukijaribu rusha ndoige😀😀😀View attachment 2409311
😆😆😆Huwezi amini hii siyo nafasi ya upendeleo..
Unastahili.
Na wala haihusiani na vurugu zenu za juzi na Dada Mkuu.
Wewe ulikuwa umeshaupiga mwingi nyuma.
Usituharibie sasa surprise.
Leo nimepoteza Miwani yangu ya Kusomea, kwahiyo napata shida kidogo kuandika 🤪Karibu sana tusogeze masaa na kufurahi pamoja humu babuu ! Mbona huwa huchangiagi lakini babuu yetu🤔🤔???
☹🙂🙂🙂🙂🙂 mnavibani sana sasaaYaani huyo kaka ni wewe kabisa 🤣🤣🤣
😂😂 kelele 1 inakuongeza kwenye list maskiniii kumbe deep down hamna hata kitu chenye ulifanya.. majirani wabayaaaa dada kataaaUtaishiwa kubakwa ukijaribu rusha ndoige😀😀😀View attachment 2409311
🤣🤣🤣🤣🤣Pole sana babuu!! Kuna swali huku walimu wanabishana hebu tusaidie babu yetu eti ndege ilivozama watu walikufa kwa kukosa hewa wengine kwa kunywa maji mengi ndio mabishano sasa kwamba kwenye ndege hakuna nafasi ya kuingiza maji wengine wanasema ipo mjukuu wako hata sijuiiii hebu nieleweshe kwanza babu!!Leo nimepoteza Miwani yangu ya Kusomea, kwahiyo napata shida kidogo kuandika 🤪
Afadhali haujanichosha kuanza kubishana😂 😆😆😆
Kichwa yako ni mbovu sana(zingatia nilipobold)
Maana hapa nikukubalie tu kabla hujaanza ubishi😆
Ngoja niwe mpole kuusubiria mwaka kesho 🥰🥰🥰
Thobotooooo, hubakiki kwani umekuqa shumireta😂😂 kelele 1 inakuongeza kwenye list maskiniii kumbe deep down hamna hata kitu chenye ulifanya.. majirani wabayaaaa dada kataaa
Me sibakiki 😂😂
Nakujua😆😆Afadhali haujanichosha kuanza kubishana
Ndio vizuri visichakae mapema☹🙂🙂🙂🙂🙂 mnavibani sana sasaa
Sina zana ya mbakiko 😂Thobotooooo, hubakiki kwani umekuqa shumireta
Sema hatuna hela hatuna kazi ndio maana hamtupi ila fresh 😀😀Ndio vizuri visichakae mapema
Ebu nione kaphoto kama hauna hiyo tool, nipitishe harambee uende uturuki waweke hata ya kutengezwaSina zana ya mbakiko 😂
Ndio utafute hela, wawe wanakuletea wenyewe bila wewe kuombaSema hatuna hela hatuna kazi ndio maana hamtupi ila fresh 😀😀