Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Wewe pekee si ndio ulitaka kuonaTuone hapa hiyo bustani sio kuitana chobingo
Wewe pekee si ndio ulitaka kuonaTuone hapa hiyo bustani sio kuitana chobingo
Maji muhimu, bila maji hakuna uhai , sehemu kubwa ya mwili ni maji 😀😀Hajui Maji ni uhai😄😄😄😄! Mjomba sikuweziiiii 🙌🙌🙌🙌🙌🙌😁
Lubricant sioWakati wengine unapaka grease ile ile nanga iweze ingia kwenye gari iliyokwama, maana kuna mda inakuwa na kutu.. bila grease aingii kushika vizuri pale😀😀
Nitumie ka photo PM nione hiyo bustani ilivyo nawiliWewe pekee si ndio ulitaka kuona
Muhimu sana hasa ukute tundu la kupokee hook lina kutu 😀😀😀😀Lubricant sio
Nimeahirisha, usije itamani bure bustani yangu ukaja iharibuNitumie ka photo PM nione hiyo bustani ilivyo nawili
😀😀😀 mie sitamani mali ya jirani zanguNimeahirisha, usije itamani bure bustani yangu ukaja iharibu
hahahahahamna aisee nakaribia kuwa sister 😂😂
Mjomba weweee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😁😁😁! Mambo ya Grease tenaaa Hahahaaa!! Ukiiandaa bustani vizuri kila kitu kinaflow vizuri mbona!!🤭 Mjomba na Lenie wako 👋👋👋👋👋👋Hebu nikafundishe mimi walaii 🤣🤣🤣🤣Wakati wengine unapaka grease ile ile nanga iweze ingia kwenye gari iliyokwama, maana kuna mda inakuwa na kutu.. bila grease aingii kushika vizuri pale😀😀
Hapo kutu yote itaondolewa mbona, then kazi kazMuhimu sana hasa ukute tundu la kupokee hook lina kutu 😀😀😀😀
😀😀😀 aaah! Kumbe inabidi bustani ipate treatment zote muhimu kwa wakati..Mjomba weweee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😁😁😁! Mambo ya Grease tenaaa Hahahaaa!! Ukiiandaa bustani vizuri kila kitu kinaflow vizuri mbona!!🤭 Mjomba na Lenie wako 👋👋👋👋👋👋Hebu nikafundishe mimi walaii 🤣🤣🤣🤣
That's good thing. Nauwe good man ivoivo mjomba wangu!😀😀😀 mie sitamani mali ya jirani zangu
Tuvidole tubayaa dah, hadi nime ghairi kula
Ndio unaniachia mjomba wako me ananivuruga kichwa hapa.Mjomba weweee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😁😁😁! Mambo ya Grease tenaaa Hahahaaa!! Ukiiandaa bustani vizuri kila kitu kinaflow vizuri mbona!!🤭 Mjomba na Lenie wako 👋👋👋👋👋👋Hebu nikafundishe mimi walaii 🤣🤣🤣🤣
Umeiba miguu ya nani
Wivuuu 🤣🤣Tuvidole tubayaa dah, hadi nime ghairi kula
😆😆😆wale wadudu ni wajinga sana mjomba wakifika sehemu yenye joto iliyojifichaAu siafu wafike maeneo hatarishi![]()
ma..ta..q yako 🤣🤣🤣🤣🤣Tuvidole tubayaa dah, hadi nime ghairi kula
🙄🙄🙄🙄Ndio unaniachia mjomba wako me ananivuruga kichwa hapa.
Mbebe uende naye umuache hata nje ya darasa hapo akusubirie, huku atoke kwa muda hadi akikaa sawa🤣🤣🤣