Natia aibu
Kuna kawiki nilikuwa nashinda kwenye vumbi yakaja
nimepambana nimeyatoa ila sasa nataka nipamvane kurudisha ulaini wa miguu mwee.
Yaani Nkamu nikifika hata robo tu ya urembo wako mbona ntamshukuru Mungu.
Nikimalizana na shughuli za shamba nikirudi mjini yaani nitakuwa nafanya kazi moja tu ya kujikoboa na scrub mwili mzima.