Alayna
JF-Expert Member
- Dec 18, 2021
- 1,010
- 3,554
Sawa kakaLocation utuchagulie tu, sie tutakufata unae tutoa out😁😁
Sawa kakaLocation utuchagulie tu, sie tutakufata unae tutoa out😁😁
Shangazi Dada yangu huyo, unatutafutia laana ya bei chee nini 🙄🙄🙄Uzee mwisho chalinzeee usiwatanieee wapee ivoivo nauzee wakoo !! Au nasema uongo mjomba National Anthem ??? 😂
😅😀😀 madam umejua kunichekesha walah😆Uzee mwisho chalinzeee usiwatanieee wapee ivoivo nauzee wakoo !! Au nasema uongo mjomba National Anthem ??? 😂
Ukuwe na hela mingi, hekima nyingi, adabu nyingi na utii mwingii.. Hatoleta picha picha zake 😀😀
Lol kumbe!! Hakii hio laana ishendweeeee!! ishendweeeee na iteketee kabesaaaShangazi Dada yangu huyo, unatutafutia laana ya bei chee nini 🙄🙄🙄
Cheka utanue mapafu dear 🥰🥰🥰😂😅😀😀 madam umejua kunichekesha walah😆
Najua umekuja kusali mbweni,, baada ya ibaada nikuone1.
Kuwatafuta wasioweza, Kuomba wamrejee Yesu,
Kuwaambia maneno yake, “Njooni kwangu nawapenda”.
Chorus
Nitakwenda (Nitakwenda) niwatafute
Wapotevu (wapotevu) wageuke,
Waingie (Waingie) Katika zizi
La Mwokozi (La Mwokozi) Yesu Kristo


Ameeeennn! Hallelujah!!Ukuwe na hela mingi, hekima nyingi, adabu nyingi na utii mwingii.. Hatoleta picha picha zake 😀😀
Maneno ya busara kabisa haya 🙏Ukuwe na hela mingi, hekima nyingi, adabu nyingi na utii mwingii.. Hatoleta picha picha zake 😀😀
kumbe upo hapa , nikuone piaNajua umekuja kusali mbweni,, baada ya ibaada nikuone![]()
Usipepese hata kope hapohapooooNipo mamii , nibariki tu .
TratAmeeeennn! Hallelujah!!
okay Mami nipo hapa 😍Usipepese hata kope hapohapoooo
🤭🤭🤭🤭Smile increases face value Tinsley
uko vzrSmile increases face value Tinsley